Sina ugomvi na utanuaji wa Kikwete. Tabu yangu siku zote ni ile hali ya kuficha wale anaoandamana nao utadhani kuna soo! Au kuna watu wasiopaswa kwenda kutanua kwa njuluku za umma wanaopenyezwa kwenye msafara wa bwana mkubwa ambao umegeuka kuwa top national security agenda?
The Curse for Salvation
Saturday, 27 September 2014
Ukishindwa kufanya kazi ardhini fanyia angani
Sina ugomvi na utanuaji wa Kikwete. Tabu yangu siku zote ni ile hali ya kuficha wale anaoandamana nao utadhani kuna soo! Au kuna watu wasiopaswa kwenda kutanua kwa njuluku za umma wanaopenyezwa kwenye msafara wa bwana mkubwa ambao umegeuka kuwa top national security agenda?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
2 comments:
khakhakha!!
Anon kwanini unacheka?
Post a Comment