The Chant of Savant

Friday 28 June 2019

Angalia Makazi Binafsi ya Mwizi wa Zamani wa Ivory Coast Felix Houphouet Boigny

Jambazi huyu aliyeitwa rais wa nchi aliishi maisha ya anasa sana kwa kodi za maskini waliokuwa wakifa njaa wakati yeye akilisha hata kenge na mamba. Mbwa huyu binadamu alitanua akijidai kumwamimi Mungu wake wa Kikoloni hadi kumjengea Kanisa  kubwa kuliko yote lililofunguliwa na papa mwenyewe. Afrika isipoamka itafanyiwa kitu mbaya. Huyu alipaswa afukuliwe na kuchapwa viboko akiwa mfu.

No comments: