Viongozi wengi wa kiafrika wamewaachia watoto hata wake zao kutumia madaraka yao bila hata kuwakaripia achia mbali kuwazuia. Kwa hili rais Bozize ameona mbali kiasi cha kujenga picha ya mtu asiyetaka madaraka yake kuwa mali ya familia marafiki au ukoo. Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.
The Curse for Salvation
Saturday, 10 November 2012
Kwa hili nampongeza rais Bozize
Viongozi wengi wa kiafrika wamewaachia watoto hata wake zao kutumia madaraka yao bila hata kuwakaripia achia mbali kuwazuia. Kwa hili rais Bozize ameona mbali kiasi cha kujenga picha ya mtu asiyetaka madaraka yake kuwa mali ya familia marafiki au ukoo. Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment