The Chant of Savant

Sunday 4 September 2016

Vihiyo na vilaza wakae mkao wa kuliwa

Jamaa akiangua kilio baada ya kubainika kuwa kumbe ni kihiyo aliyeangukia madaraka makubwa kutokana na nguvu ya vimemo. Laiti wangeshughulikiwa wote na kuishia jela, huenda lingekuwa somo kwa wengine.

No comments: