The Chant of Savant

Monday 25 November 2013

Angola yaharamisha Uislam akili au matope?

Angola Bans Islam
Taarifa zilizotufikia ni kwamba taifa la Angola limekuwa la kwanza duniani kuharamisha Uislam kwenye ardhi yake. Hatua hii imekuja kutokana na juhudi za Angola kupiga marufuku dini na madhehebu ambayo hayamo nchini humo kisheria.Taarifa nyingine zinasema kuwa serikali imeanza kuangusha misikiti huku iliyonusurika kuendelea kufungwa hadi hapo baadaye. Je hatua hii italisaidia au kuliumiza taifa hili lililokwishaharibiwa na vita? Je marufuku hii ni ya kudumu au ya muda. Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.

No comments: