"Natangaza nitakufa leo mchana", afanya kweli
Kikongwe mmoja nchini Kanada ameshangaza dunia kwa kutangaza kifo chake na kukitekeleza kama alivyoahidi. Gillian Bennett wa B.C aliamua kujiua baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu, dimentia kwa muda hadi anajiua. Pamoja na kuchukua uamuzi mgumu, Bennett anasema kuwa licha ya kuchoka na maisha ameamua kukoa kiasi cha Dola za Kanada 75,000 ambazo walipa kodi wangetoa kumtunza kwa mwaka. Kwa habari zaidi BOFYA HAPA.
No comments:
Post a Comment