The Curse for Salvation

The Curse for Salvation

Monday, 17 December 2012

Is it Bongoland, Bongolalaland or Vigogoland?



God so (dearly) loved mankind that he sent his only son to save them, (John 3: 16). So too, the rulers of our hunk loved those they rule so as to send their kids to serve them, (BoT 1: 13 and Health 1:5). When predatory policies blessed by the power that be came into being, our people found themselves in precarious situation. They found themselves being vulnerable to the potential and imminent dangers of the system.  As this unfolded, the devil (charlatans) hoodwinked them (hoi polloi) to take such man-made disaster as a normal- God- given thing! They want them to live like Humilliati of 12thcentury. Hell no. 
Our people have always lived a squalid life of rascals. Instead of being up in arms or apply political jiu-jitsu, they’ve been made to believe that this is their fate. They're told not to disturb the peace of those who “own” the hunk by deceit. They must leave their plight and fate in the hands of their tormentors!  What fate can be decided by binadams instead of God? How can innocent tax payers keep on cascading down into abject poverty while their homemade thieves are getting richer and richer? 
 I know too well that this piece will annoy many people especially those behind the miseries of our beloved people. They’ll see me as prophet of dooms while they actually have been making the same dooms. Hating or discrediting me is like hating the photo while the one who made it is loved. Again, what goes around comes around. This is an unbeatable phenomenon. People need to be given the benefit of the doubt.
Essentially, we’re sitting on the ticking bomb wrongly thinking it won’t explode! Some politicians have even boisterously taken advantage of it stupid. They pretend to talk about jobs while their kids suffer no Joblessness. Currently, there’s news doing rounds online on nepotistic and corrupt employment of the children of bigwigs in the hunk. True, beneficiaries and their courtiers see nothing in employing the kids of movers and shakers in the hunk. They just say that those guys are fancily educated. Tell it to the birds. How many mkulima’s and mfanyakazi’s children are out there wandering with their degrees while the kids of the biggies chad everything from public big time? How many rambunctious  sons and daughters of paupers are rotting out there without getting a job while the fat cats are dilly dallying in rich made by the way of robbing the public? What a primitive idea!
What we see is what we get. I recently came across names of Bank of Tanzia employees who happen to be kids of the biggies. This scandal of nepotism has gone viral as it rankles online. People are trying to air their pent-up choler by flaunting the names of the kids of politicos employed in public office just because they bear big names. These names are Sallyma Ally H. Mwinyi, Blaziaa William Nkapa, Pamela Eddie Lowassa, Zaria-zari Kawawa, and Fillybat Freddie Sumaye.
Others are AJabir A. Kigoda, Violent Phil Luhani-njoo and Justie Joseph Mungai. Others are Harietha Martenus Lumbago, Rechwo Muganda the daughter of the spouse of the former BoT governor (Dadi Balali), Sallyma Omar Mahita, Tommy Mongella, Likwu Kate Kamba, and Ken Nchimbi-li. 
Evidently, the ministry of Health is not spared of the virus of employing the princes and princesses. On the spot are names such as Drs. Janet Joji Kahamma, Hawaa R. Kawawa, Goony K. Kamba, Aasha O. Mahita and Ama-nii K. Malima. Interestingly, all of them are employed in Dar not Uswekeni. 
The cabinet, too, is not left behind. There are names such as Emmy Nchi mbi, Jan Makamba, Ad-aam K.Malima andAbdi and Hossein Ally Mwinyi. The parliament, too, has the same colour of mighty and glory. Those in the house are Wars and ZayB Kawawa.  I once listed the children of vigogos stashed abroad in our embassies. Names that feature in the list are Nkapa, Sokoini, Tibandebagi, Sija-see (Ona), Mwingi-ra, Ka-fanabo, Mu-nanka, Ka-rume and Msekua to mention a few.
Again, how many children of who’s who in the hunk are in such fat sectors such as TRA, Harbours, Immigration, Judiciary, Tourism, Trade, Minerals and what not? They may think they’re invisible, but the eye of the society sees them. 
The other day little bird told me that the high and mighty would like to see the hunk they’re milking being handed over to their kids and their kids hand it to their grand kids  This way ad infinitum! It means: the mwananchi has no longer a hunk to call his. He’s just a tool in the hands of supremos. This selfishness and greed, if not stopped, is likely to cause morass and chaos. Hyenas can’t think out of their stomachs. This is what one fyatu told me the other day. He said that we’re experimenting hyenaism aka ufisi. We egg those implicated to do the right thing- stop, stop, stop just now.  Are you waiting for a had-we-known regret? Otherwise, what’s going on is a future ayiko-shinju or parent-child suicide. Is it wise to punch a knife’s edge?
“All truths are easy to understand once they are discovered, the point is to discover them,” Galileo Galilei. Again, is it BongolandBongolalaland orVigogoland?
Source: Thisday Dec., 17-23, 2012.

Friday, 14 December 2012

Salma Kikwete na nyani na kundule



Watanzania Watakiwa Kujenga Utamaduni Wa Kujisomea Vitabu

Wengi wanajiuliza kwanini yeye haonyeshi mfano na badala yake anatumia muda mwingi kuzurura na mumewe? Kwanini hamshauri mmewe kuwafukuza mawaziri na watendaji wengi aliowateua wanaojulikana kughushi vyeti vya shahada? Je yeye ukiachia mbali kutumia WAMA kujipatia pesa amefanya nini binafsi kuongeza kiwango chake cha elimu?

Na: Heka Wanna na Shakila Galus,MAELEZO

MWENYEKITI wa WAMA Mama Salma Kikwete wito kwa wananchi tabia ya kujisomea vitambu na machapisho mbalimbali ili kujiongezea maarifa yatakayowawezesha kujiletea maendeleo.

Mama Kikwete alitoa kauli hiyo kwenye Makumbusho ya Taifa leo jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa makatba kwa ajili ya watoto na watu wazima.

Alisema kuwa elimu ndio silaha pekee ya kukabiliana na maadui watu ambao ni ujinga,maradhi na umaskini na hivyo kujiletea maendeleo.

Mama Kikwete aliongezea mbinu za kujiendeleza kimaisha zinapatikana pia kwa njia elimu kupitia vitabu na machapisho mbalimbali yanayopatikana kwenye maktaba mbalimbali ndani na nje ya Tanzania.

Alisema kuwa hiyo itasaidia katika kuongeza maarifa kwani kutakuwa na vitabu,kompyuta na mitambo ya mawasiliano ambayo itawawezesha watumiaji kupata elimu ya taaluma mbalimbali.

Aidha Mama Kikwete aliwasihi watumishi wa Makumbusho hiyo kuwa ni jukumu lao kutunza maktaba hiyo ili isaidie kukidhi malengo ya kuanzishwa kwake kwa kuandaa taratibu bora za kudhibiti matumizi yasiyo na tija ya maktaba ikiwemo upotevu machapisho na vitabu mbalimbali na uhalibifu wa vitabu unaofanywa na watu wasiotaka maendeleo.

Mwenyekiti huyo WAMA alimshukru Balozi wa Korea Kusini Young Shimo Dho kwa niaba ya nchi yake kwa msaada wa vitabu na vifaa mbalimbali kwa ajili ya maktaba hizo mbili .
Chanzo: Mjengwa Blog.

Wednesday, 12 December 2012



TAARIFA za mauaji ya raia wema yanayosababisha na polisi ni nyingi mno. Bahati mbaya hata mauaji yanapotokea hakuna anayewajibishwa.
Kabla ya kuendelea na makala yangu, hebu tutoe takwimu chache tu za mwaka huu kuhusiana na mauaji yaliyotekelezwa na jeshi la polisi.
Januari 14, 2012, Mgoyo Mgoyo wa kijiji cha Wegero, kata ya Buswahili aliuawa na polisi.
Februari 4, 2012 mkazi wa kijiji cha Nyarwana, kata ya Kibasuka, tarafa ya Inchage Nyamongo, Daniel Masimbe aliuawa baada ya polisi kumpiga risasi kwenye koromeo.
Agosti 27, 2012 Jeshi hilo lilimuua Ally Zona kwa kumpiga risasi ya kichwa mkoani Morogoro likizuia maandamano ya CHADEMA.
Agosti 30, 2012 huko Chato mkoani Geita David Gilles Vyamana na Gilbert Ntabonwa, wakazi wa kijiji cha Kakeneno waliuawa na polisi wakiwa kwenye nyumba ya kulala wageni.
Septemba 20, 2012. Daudi Mwangosi aliauwa kwa kupiga risasi akiwa kazini kwenye kijiji cha Nyololo, Mufindi.
Novemba 12, 2012 polisi walimuua Rashid Juma (23) huko Bukombe, Geita kumpiga risasi.
Takwimu hizi si za mwaka wote. Hapa hujausisha takwimu zote za mwaka na zile ambapo wahanga wanaouawa na polisi wanaelezwa kuwa ni majambazi kuficha ushahidi.
Hakika ni vigumu kwa sasa kutofautisha jeshi la polisi na genge la wauaji. Kwa watanzania, kwa sasa, hakuna tofauti baina ya majambazi na polisi hasa wale wanaopenda kutumia silaha zilizotokana na kodi zetu kutumalizia mbali tena bila kosa.
Hebu tusaidiane. Askari anayekuja na bunduki yake akimsaka jambazi ambaye hana hata taarifa zake ni askari kweli ua mbabaishaji anayetafuta rushwa au hata kuiba?
Tukio la aibu na kusikitisha lililojiri hivi karibuni Kunduchi Machimboni jijini Dar es salaam ni ambapo mwandishi wa habari wa gazeti hili Shaban Matutu alipigwa risasi mojawapo ya viashiria kuwa hatuna jeshi la polisi kwa ajili ya kulinda usalama wetu.
Inashangaza watu wanaoitwa polisi tena waliokwenda CPP Moshi ‘kupikwa’ kufanya vitu sawa na majambazi. Ni aibu na pigo kwa taifa kuwa na jeshi kama hili likilipwa mishahara na marupurupu kwa pesa ya walipakodi linaowaua kama wadudu wa kawaida.
Kisa cha kupigwa Matutu ni tone katika mabalaa ambayo yameishasababishwa na polisi wetu ambao baadhi yao wamejigeuza genge la mauaji bila sababu ya msingi. Inatisha pale unapoambiwa eti polisi wameingia kwenye nyumba ya mtu bila kujitambulisha wala kumuonyesha search warrant, kumueleza lengo lao, haki zao na kuamini kuwa amewaamini kufanya kazi yao.
Ni balaa zaidi pale waharifu hawa, wanaoitwa polisi, wanapompiga risasi raia mwema wanayepaswa kumlinda kikatiba. utawala wa sheria ni kuwatendea wananchi kwa usawa kwa mujibu wa sheria bila kujali huyu ni ndugu, rafiki, adui au kivyele wangu.
Polisi ni watumishi umma na si wauaji wake. Ni ajabu hata rais bado anamkingia au kumvumilia Mkuu wa Jeshi lenye sifa mbaya ya uuaji wa raia wasio na hatia tena kwa kutumia pesa yao ya kodi.
Si uzushi wala uchochezi kusema kuwa kwa sasa IGP Said Mwema ataingia kwenye vitabu vya historia kama Mkuu wa Jeshi la Polisi aliyeongoza jeshi lililoua raia wema wengi bila kuchukua hatua.
Je rais ana nini na Mwema? Je nini kinamzuia rais kumfukuza kazi licha ya kumchukulia hatua? Hapa tatizo ni kujuana au rais anaridhika na utendaji wa jeshi la polisi chini ya Mwema?
Kuna haja ya kumbana rais atuonyeshe huu utawala wa sheria anaoimba majukwaani kila siku uko wapi na kama upo ni kwa ajili ya nani? Huwezi kutwambia utawala wa sheria wakati watu wanavunja sheria tena kwa kutenda makosa ambayo ni makubwa kama kumwaga damu na hawachukuliwi sheria ukasema kuna utawala wa sheria. Hii ni kejeli kwa utawala wa sheria.
Hebu jikumbushe kisa cha aibu na ajabu kilichotendwa na Mkuu wa Mkoa wa Kanda ya Kipolisi ya Kinondoni, Charles Kenyela aliyeita waandishi wa habari ili kulidanganya taifa.
Kenyela, kwa sababu ajuazo, alitoa taarifa juu ya kujeruhiwa kwa risasi kwa mwandishi Matutu ya uongo na uzushi akijua wazi kufanya hivyo ni kinyume cha sheria.
Alimkashifu Matutu kwa kumwita jambazi wakati siyo. Jeshi lake lilimuumiza yeye na mkewe na bado likawa na mshipa wa kumkashifu. Kenyela alikaririwa akisema eti mwandishi Matutu aliyejeruhiwa pamoja na mkewe, mama J, ni majambazi ambao walikuwa wakisakwa na polisi kwa tuhuma hewa ambazo hakuzitaja.
Ajabu ya maajabu ni kwamba mama J ni mjamzito na raia mwema sawa na mumewe. Inashangaza kuona mtu wa cheo kama cha Kenyela kufanya uharifu usiovumilika lakini bado Mwema akaendelea kumvumilia.
Kinachojidhihirisha kwenye uongo wa Kenyela ni kwamba ima alitaka kuwalinda askari wenzake huku akijua walichotenda ni kinyume cha sheria na kanuni au hakufanya utafiti.
Inawezekana alidanganywa na watu wa chini yake naye akaamua kujivua nguo hadharani.
Tunaandika kutaka Kenyela na Mwema wachukuliwe hatua za kisheria ili liwe somo kwa wengine.
Je hapa anayevunja amani ni nani?. Maana huwezi kuwa na amani bila haki na uwajibikaji. Polisi wameshindwa kuzuia ujambazi na jinai nyingine kama utoroshaji wa madini, wanyama na kufurika kwa wahamiaji haramu.
Badala yake wamekuwa mabingwa wa kuua raia wasio na hatia. Je hapa serikali inaweza kutueleza nini tukaielewa? Jeshi letu la polisi limekuwa kinara hata katika tafiti zinazohusu upokeaji wa rushwa na hakuna anayeguswa na hili? Je hapa kazi ya rais ni nini iwapo wananchi hawana usalama ilhali aliapa kuwalinda wao nchi na katiba yao kwa mamlaka waliyomkabidhi?
Chanzo: Tanzania Daima Desemba 12, 2012.

Tuliposherehekea miaka 51 ya udhuru!


TANGU tupate udhuru sorry uhuru miaka zaidi ya 50 iliyopita, walevi walidhani kungekuwa na angalau kitu cha kusherehekea. Kwa hali si hiyo. Tuna uhuru kweli?
Hata hivyo uhuru huo unao wenyewe wanaoweza kuhomola na kuiba bila kuguswa. Wanaoweza kuua bila kuguswa ukiachia mbali kujifanyia madudu ambayo hata wadudu hawajayafikia pamoja na ududu wao. Tunazidiwa hata na wadudu wana uhuru. Hata hivyo na wadudu watu wana uhuru wa kubungua mali zetu kuanzia madini, wanyama, fedha hata afya zetu.
Waliosherehekea uhuru wakati sisi tukisherehekea udhuru wanajulikana. Walialiakana wakala na kunywa damu na pombe zetu huku sisi tukijichana maji ya madimbwi na visima vitoavyo maji vyooni. Hamjaona wanaotiririsha vinyesi mitaani hasa huko uswekeni? Je huko walevi wanakunywa maji au mavi yaliyochanganyikana na maji. No ni maji yalichanganyikana na mavi you name it.
Mjadala wenyewe ulianzishwa na Dk. Mpemba pale alipokuja na kuanza kutushangaa. Alisema, “Nyie hamwendi uwanja wa Uhuru kushereheekeaa Uhuru?”
Hata kabla ya kuendelea Dk. Kapende alidakia, “Uhuru ulikuwa ule wakati wa mzee Nchonga. Huu uhuru au udhuru?”
Dk. Mgosi Machungi hangoji. Anakatua mic, “Ami umesema kwei kabisa. siku ile ya uhuu niikuwa pale Mnazi Mmoja. Tilikula na kunywa hadi tikapuu. Lakini tangu mzee Mchonga ang’atuke na kuwaachia vibaka uhuu uligeuka uzuu,”
‘Sema Udhuru siyo uzuu hatuko Sauzi hapa,” Alitania Dk. Mbwamwitu huku akimpatia kipisi cha sigara kali Mgosi Machungi. Dk. Mipawa na Dk. Kapende hawana mbavu.
Nao inaonekana walikuwa wakimsengenya Mgosi anavyoua “L” na “R” kwa kusema Uhuu badara ya Uhuru.
“Jamani acheni utani. Siku ile mie niikuwa Tanu Youth ligi ambao tiliiongoza kumzomea mume wa malkia iliposhushwa bendea ya Union Jack ya Mwiingiiishi,”
Baada ya kuona hoja inaanza kuyeyushwa na utani na masimango, Profesa Dk Msomi Mkatatamaa anaamua kuokoa jahazi. Anakatua mic na kusema, “Tuache utani. Dk. Mpemba ana hoja tena nzito yenye maana na maanawia.” Anainua kombe lake na kunywa kidogo na kukatua kashata huku akifukuza moshi wa sigara kali na kuendelea, “Hiki kinachoitwa Uhuru kina maana tofauti kwa watu tofauti.
Kwa mfano, kwa wale wanaokula, kuiba, kufuja na kufanya madudu watakavyo bila kushughulikia huu ni Uhuru kweli. Ndiyo uhuru wanaoutaka. Kwa ndata wanaoweza kumiminia watu risasi na kuwamwangosi huu ni uhuru kweli,”
Kinokia chake kinaita hivyo anaamua kukizima ili kuendelea kumwaga pwenti. Anaendelea, “Samahani shemegi yenu naona alikuwa akinipeep. Wabongolalalanders kwa kubeep! We acha tu.”
Dk.Mchunguliaji anachomekea, “Tatizo si wabongo kupenda kudeep. Tatizo ni watawala wetu kuwa wafanya biashara wenye maslahi kwenye makampuni kupe ya simu yanayotoa huduma mbovu kwa bei mbaya,”
“Yakhe usinambie mie kuhusu haya mashirika jambazi. Yanaiba pesa yetu na hatuna pakwenda wenda Tecra wasema wao hawahusiki. sijue wataka twende wapi hawa wezi na wezi wao?”
Profesa anaona mambo yanazidi kuharibika. hangoji Dk Mpemba amalizie malalamiko yake. Anakwanyua mic na kumwaga pwenti, “Malalamiko yenu yanaweza kuelezea ni upande gani wa uhuru mpo. Wanaowaibia pesa kwa kuwapa huduma mbovu wana haja ya kusherehekea uhuru unaowapa haki ya kuwanyonyeni na kuwaibieni.” Anachukua simu yake mfukoni na kuizima baada ya mshirika wake wa Bedroom kumbeep tena. Kabla ya kuendelea Dk Mchunguliaji anashangaa tena na kusema, “Amekudeep tena?”
Dk. Mgosi Machungi naye kampata kibonde wake, anakwanyua mic na kusema, “Mchunguiaji siyo kudeep bai kubeep. Wewe unadhani kudeep ni kuzuri au unataka udeepiwe wewe?”
Profesa Msomi keshagundua kuwa asipoingilia kati mambo yataharibika maana utani wa wanywa kahawa anaujua sana. Anamua kuzima simu na kuendelea, “Tuangalie dhana nzima ya uhuru ambao kwetu ni udhuru.
Wakati tukidanganywa kuwa tunasherehekea uhuru si udhuru, wao bila aibu wala chembe wanatutangazia kuwa kesi ya Dowani imeishakula bilioni 40!
Hapa uhuru uko wapi iwapo juzi juzi walituaminisha kuwa wangewashughulikia majambazi wa njuluku za umma wakati nao wanawatumia hao hao kutumaliza?
Kabla ya kuendelea Dk. Mpemba anachomekea, “Yakhe wasema ukweli. Je wajua kuwa hata magazeti mengi ya dunia sasa yanajua Tanzia inao mabilionea tano mmojawapo akiwamo yule Kagoda na yule mwingine ambaye alilazimisha mwanae achaguliwe nbunge ili aendelee tetea biashara zao?
Je, wajua kuwa bendera yetu sasa yatumiwa na nchi magaidi kufanyia biashara zao? Je wajua kuwa kaya yetu sasa yachimba urani ili itengeze silaha za kutuua sisi wanyonge?”
“Umenena vyema Ami,” Anamuamrisha muuza kahawa amuwekee kahawa anywe hadi alewe maana katoa pwenti si kawaida. anasemea, “We Dk. Shem (huyu ndiye muuza kahawa wetu) mwekee kahawa anywe hadi alewe,” anasemea huku akitabasamu na Mpemba naye anatikisa kichwa kuonyesha amemwaga pwenti kiasi cha kupewa ujiko.
“We Shem, mmwagie kahawa Mpemba hadi azimie,” Anabwatuka Dk. Mbwa Mwitu. Mpemba hajivungi, “Mbwamwitu twaheshiana ati. Kama watakamwagiwa wewe si useme mie nlipe?
Basi mie nsema, Sheem, mmwagie Mbwamwitu tangawizi hadi azimie maana naona ataka sana hiyo huyo,”
Kijiwe hakina mbavu jinsi watu wanavyofungiana nyama hapa.
Profesa anaendelea, “Mheshimiwa Dk Mpemba amesema maneno makubwa. Amevinjari karibu mfumo wote wa maisha unaotuchezea. Amewavua nguo wanafiki na mawakala wao wanaotuibia wakijifanya wanatujengea maisha bora kwa wote wakati wote ni wote wao,”
Anakamata kashata na kupiga tama kahawa na kuendelea, “Hivi mke wa Mwangosi au Shabaan Mitutu wanaujua uhuru? Wanaouawa na kusingiziwa ni majambazi wanaujua uhuru? Watoto wanaonyima pesa ya kwenda kusoma chuo kikuu cha Manzese na vyuo vingine wanaujua uhuru? Wazee wa Jumuia mfu ya Afrika ya Mashirika wanaujua uhuru? Wasichana wa mashuleni wanaojazwa mimba na kuambiwa wana kiherehere wanaujua uhuru? Watoto wanaokalia mawe na kufundishwa na walimu wa UPE wanajua uhuru? Wagonjwa mahospitalini wanaotozwa pesa kumtazama daktari wanaujua uhuru? Ombaomba wasio na suti wanaujua uhuru? Wamachinga pale wanaujua uhuru au wenye maduka ambao wengi ni wageni tena wakimbizi wa kiuchumi? Hivi wale,”
Anakatishwa na vigeregere na makofi toka kwa wanywa kahawa. Akiwa anajiandaa kuendelea kumwaga pwenti ndata wanatokea upande wa Kurasini wakiwa na mibunduki yao. Kila mtu anaamua kujikata kabla hawaja mMatutu au kumMwangosi halafu wakasema sisi ni majambazi kama wao.
Acha niwahi nyumbani kusherehea udhuru toka kwa mshirika wa bedroom!
Chanzo: Tanzania Daima Desembe 12, 2012.

Kikwete anapopamba mihadarati


  1.  vya habari viliripoti jana kuwa rais Jakaya Kikwete alimuokoa teja mmoja maarufu Ray C. Baada ya kufichuka kwa habari hizi ambazo wengi wameona kama ni "roho" nzuri ya mheshimiwa rais, nimeonelea nirejeshe kadhia nyingine itokanayo na mihadarati ambayo ni kifo cha kutatanisha cha mbunge wa CCM Amina Chifupa baada ya kushupalia biashara hii. Je kwanini rais hakuingilia kati kumuokoa? Wengi watashangaa rais angemwokoaje wakati hakuwa teja. Nimaanishacho ni kwamba je rais anahitaji kuokoa mateja mmoja mmoja tena maarufu au wote kwa kuwakamata wauza mihadarati ambao alitwambia mwaka 2006 kuwa ana orodha yao? Je Kikwete anatumia kadhia ya Ray C kujitafutia umaarufu wa bei nafuu au ameshauriwa vibaya? Je Kikwete yuko serious kupambana na mihadarati au ni usanii wa kawaida? Je mbinu anayotumia Kikwete inaweza kuleta suluhu kwa tatizo au kuwa sehemu ya tatizo? Je wasio "masupastaa" wataokolewa na nani? Je Kikwete alidhamiria kumsaidia Ray C au kutumia umaarufu wake kujionyesha kama mtu anayejali? Je wewe msomaji unampa ushauri gani ili apambane na tatizo lenyewe badala ya mashina kama ilivyotokea kwa Ray C?

Tuesday, 11 December 2012

Bush akamatwa visiwa vya Cayman

Waziri mkuu wa visiwa vya Cayman McKeeva Bush amekamatwa kutokana na tuhuma za ufisadi. Pamoja na visiwa hivi kuwa pepo ya wakwepa kodi bado havikubali ufisadi! Bush aliingia madarakani mwaka 2009. Je tunajifunza nini watanzania? Kwa blogu hii ni kwamba hata kama unaweza kuruhusu wenzio waibe pesa zao kwao wawekeze kwako kwa sababu ya upumbavu wao, hutaruhusu kujiibia wewe mwenyewe. Kwa habari zaidi GONGA hapa.

Monday, 10 December 2012

Riz and Lowassa, please say more







I've these sinking feelings about my beloved hunk especially its renowned elusive peace. It is a niggling love-hate relationship. In academia we've our ways of looking at things. Peace, to us, is not the absence of war but the existence of justice. This is another topic to avoid today. hate our hunk for allowing some brigands and selfish politicos to take us for a ride. Methinks. It is only in our hunk any criminal can commit all types of crimes and get away with it. Any person regarded to be mature, however mentally immature is, can utter any fibs and childish stuff. Yet people respect him. There are things people say even bovine can’t subscribe to.
I love my hunk for its dichotomous and paradoxical ways of doing things. Look at how we invest in kanywaji, kitchen parties, and short time “Guest Houses” whose actual guests are not but sinners. Cool uh? Bang! This is another issue for another issue.
For today, our vector is on fictitious-wealth-declaring biz. On the spotlight are Prince Riz Jake Kikwete and his father’s consigliore Eddie Lowassa. The duo left me awe struck. I read the stories of their sideshows through the papers.
I recently attended our session at the pub to chit chat with honorouble bibbers. The in-thing and main topic was this thing they call “deceptive declarations of wealth”--- a way of fooling the hoi polloi. What abracadabra staged by media and power winos! Mshiko at work as it causes people use masaburis to think instead of heads.
While sippers were seriously attacking kanywaji, I was busy reading some Newspapers that claimed that Prince Riz and Eddie had given explanations as to how “poor” they’re. Sadly though, to the contrary, on the material day, our screwed up Tabloids came with such sensational headlines. After being enticed by the headlines, I grabbed the Papers to end up close to fainting with anger. I read from the top to the bottom between and out of the lines to no avail. I ended up tossing one simple word kanjanjas. I’m wondering why Legmen did not ask the whereabouts of Riz’s and Eddie’s wealth such as actual amount in cash, the banks their monies are kept (at home or abroad especially Switzerland), the castles, mansions, villas, shangingis and oil tankers those guys own. Also, they’re supposed to clearly declare their wealth in terms of land they own, companies and whatnot. Again, the media lost it easily. Why? Money talks and it talks louder. Sadly, if this is the way our media is operating, they better sell tomatoes in lieu. Why steal our money by just feeding us mealy lies?
One boozer broke my ribs till my eyes were wet with tears. You know what; he said that the popinjays who interviewed those supremos were ethical tarts. He added that if the said supremos wanted to convince him they’d to declare their suits and nyumba ndogos and such nitty-gritty stuff.
Instead of declaring their wealth, our men declared their lies. They induced the journalists who ended up doing their dirty laundry. Shame on them all! Maybe, just maybe, the journalists were not hoodwinked. Maybe, they’re paid to write such nonsensical and sexed up stuff. Who knows? Being smart in this shamanic Bongo is to have money regardless how degrading or fraudulent one makes the said monies? I feel like breaking somebody’s neck so to speak. It is disgusting and abhorring. Why feeding us with such logos-defying stuff?
Again, who’s fooling whom including himself altogether? Do they think that the Bongolalalanders do not know how they rob them? Do these bloody bloodsuckers think that we are all stupid and mad? On my dead body! I won’t subscribe to these lies and junk ideas. I still believe the guys must come clean else they are leeches in glory of power. Do these guys think: we are proverbial guys that Mr. Peace Karume said their heads are brainless like those of fish?
Look at the ballyhoos I love to hate and abhor. When he’s asked how rich he is, Eddie said that those saying he’s rich are liars. Again, he went on saying that his wealth comes from harambees which receive a boost from his friends. He said that he’s sure. He won’t go bankrupt. Whose lies should we believe? Those saying that Eddie is super rich or he who senselessly says he’s rich without any meaningful explanations?
Against the odd, Riz said that he might have two or three biz. But this does mean he can own such humongous wealth. He didn't say whether he is poor or rich. He is financially hermaphrodite! Tell us how you made the capital for your two or three monkey businesses Sir. This is the only thing that can separate wheat from chaff. I thought these guys would squarely deny that they are rich. Hell no, they didn't  Dudes, do you think we’re going to believe in your topsy-turvy stories of Mr. Hare and Mr. Rabbit? Maybe, Riz didn't want to declare his riches before his father does so. Aristotle said, “If a man does unjust things without being ignorant he is unjust voluntarily.”
Source: ThisDay Dec. 10-16, 2012.

Sunday, 9 December 2012

Nchi ya matapeli na vihiyo: naililia Tanzania.

Kwa wanaomjua balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Diodorous Kamala wanamjua kama mtu mwenye shahada ya juu Phd hivyo siku zote humuita Dk Kamala. Na hii imekuwa ikiendelea kwa miaka mingi tangu akiwa mbunge miaka iliyopita. Ajabu eti leo ndiyo anatunukiwa hiyo PhD! Hii maana yake ni kwamba alijipachika cheo cha udaktari akalipwa mshahara wa kiwango hicho wakati hakuwa na sifa. Hili ni kosa la  jinai kisheria. Pamoja na kujulikana kwa ushahidi huu bado rais alimteua kuwa balozi nchini Ubelgiji. Je hapa rais wetu hajashirikiana na waharifu kuhujumu nchi yetu? Kesho utasikia akina Makongoro Mahangaa, Didace Masaburi, Matayo Matayo, Emanuel Nchimbi na Mary Nagu wakitunukiwa PhDs wakati waliishajulikana kama madaktari wakati si kweli.

Wednesday, 5 December 2012

Muungano wa EAC ni mkuki kwa taifa

INGAWA kuna baadhi ya wenzetu waliuona msimamo wa kiongozi wa nchi, dhidi ya kuwepo kwa sarafu moja ya Afrika Mashariki kama jambo la maana, lawama zinapaswa kupelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete mwenyewe.
Wengi tulipinga hata huu ‘Muungano’ wa kuburuzana na kugeuzana majuha, lakini hakuna aliyesikiliza kilio wala ushauri wetu.
Kwa kumbukumbu, nimekuwa mpinzani nunusi wa Muungano wa Afrika Mashariki, sio kwa sababu napenda kuwa kisiwa bali kutokana na sababu zenye mashiko.
Kwa mfano, Rais Kikwete anapoanza kulalamika na kuonya kuhusu hatari ya kuwa na sarafu moja wakati haoni hatari ya kuunganisha nchi zenye ardhi kubwa na zisizo na ardhi kabisa, anamaanisha nini?
Je, kama rais, anakosa nini kuingilia kati kwa niaba ya nchi yake? Mbona kwenye kuburuzwa alitumia madaraka yake bila kuchelewa wala kulalamika?
Tulisema, na tunazidi kusema, kuwa Muungano wa Afrika Mashariki ni mkuki kwa Tanzania zaidi ya nchi nyingine.
Hebu angalia jinsi nchi karibu zote, ukiondoaTanzania, zilivyo na zigo la idadi kubwa ya watu ikilinganishwa na maneno yao.
Kenya ina idadi ya watu karibu sawa na Tanzania wakati ardhi yake ni chini ya nusu ya ukubwa wa taifa hili, Uganda kadhalika.
Ukitazama Burundi na Rwanda ndiyo unapata kichefuchefu. Fikiria nchi yenye ukubwa wa kilometa za mraba 26,338 na kuwa na watu takriban milioni tisa.
Nchi ambayo ni ndogo hata kuliko Mkoa wa Tabora, ina idadi ya watu kama hiyo halafu eti mnaungana.
Tabora ina ukubwa wa kilometa za mraba 76,151 - mara tatu ya Rwanda na Burundi. Mnaunganisha nini kama siyo umaskini?
Burundi yenye ukubwa wa kilometa za mraba 27,834 nayo ina watu takriban milioni nane.
Uganda ina ukubwa wa kilometa za mraba 93,065 na idadi ya watu takriban milioni 33, huku Kenya ikiwa na kilometa za mraba 224,080 na idadi ya watu milioni 44.
Jumlisha idadi hiyo ambapo ni watu wa nchi zote isipokuwa Tanzania, unapata milioni 80. Tanzania ina ukubwa wa eneo la kilometa za mraba 945,000 na idadi ya watu wapatao milioni 40.
Eneo la Tanzania bado ni kubwa kuliko ukiunganisha nchi zote zinazolilia kuungana nayo kwa mara zaidi ya mbili.
Ukiziunganisha nchi hizo zote, unakuta kuwa zina ardhi yenye ukubwa sawa na takriban moja ya tatu ya Tanzania.
Maana zina ukubwa wa jumla wa kilometa za mraba 371,217. Je, hapa bado kuna uhalisia au kudanganya? Kwanini akina Rais Kikwete na baadhi ya viongozi walishindwa mahesabu rahisi kama haya?
Tuliwahi kuhoji kwanini kama Muungano ni ‘big deal’ tusiungane na Msumbiji na Zambia badala ya nchi hizi nyemelezi zisizo na cha kutuchangia zaidi ya kutunyonya?
Ukija kwenye rasilimali unapata swali lile lile kuwa Tanzania aihitaji kutoa rasilimali zake kwa nchi maskini wakati kuna nchi zenye ufanano kama Kongo (DRC) na Msumbiji linapokuja suala la rasilimali.
Kwanini hatukujifunza toka kwenye muungano wa mashaka na matatizo na Zanzibar jamani? Hapa tunaongelea ukubwa na rasilimali.
Hatujaongelea historia na matatizo ya kijamii nchi husika zinayokabiliwa nayo. Hatujagusia mipango ya wazi na fichi ya nchi husika.
Turejee kwa Rais Kikwete. Je, ameona mwanga au ndiyo kutaka kujiondolea lawama wakati wananchi hawakushirikishwa katika Muungano huo?
Je, Tanzania ilijifunza nini kwenye kuvunjika kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka 1977?
Kuna haja ya kumuuliza Rais Kikwete kwanini yeye na wenzake waliharakisha kuziingiza Burundi na Rwanda kwenye umoja huu bila hata kuwauliza wananchi?
Kumbukumbu zetu ni kwamba, wali-fast track na baadaye wakaja eti kuuliza maoni wakati kila kitu kilikuwa kimeishaamriwa.
Je, namna hii Tanzania haijengi mazingara ya migongano baina ya watu wake na wavamizi watakaozaliwa na Jumuiya?
Rais Kikwete alikaririwa hivi karibuni akisema: “Kwa uzoefu wangu itifaki ya sarafu moja inahitaji umakini kabla ya nchi wanachama kuafikiana.
“Kwa sababu hapo baadaye tutakuja na sera moja ya fedha ambayo itatoa mwanya mdogo kwa nchi mwanachama kukopa fedha nje ya jumuiya...sera hiyo itatoa ukomo wa kiasi cha fedha kinachotakiwa kukopwa na haitakubalika hata kama nchi mwanachama inashida ya kukopa zaidi kufanya hivyo.”
Rais Kikwete alisahau hayo wakati akiridhia kila jambo lililopendekezwa na nchi nyingine bila kuangalia maslahi ya taifa.
Hivi nchi kama Kenya inadai vivutio vyetu viko kwao wakati wakijua ni kinyume na sheria kufanya hivyo, watashindwa nini kukopa kwa kutumia Afrika Mashariki kwa manufaa ya nchi yao huku wakitutupia mzigo?
Nchi zinazotawala kibazazi zitashindwa nini kutumia bandari yetu kuingiza silaha zitakazoishia kuhujumu nchi nyingine?
Je, Rais Kikwete amekumbuka shuka asubuhi? Kama tunahitaji somo juu ya Muungano basi tujifunze toka Marekani, ambao walihofia taifa lao kupoteza kwa nchi maskini kama Mexico, wakaamua kujenga hata ukuta huku wakiacha mpaka wao na nchi tajiri Canada ukiwa wazi.
Lazima tuangalie maslahi yetu. Maana sio busara kuunganisha mbuzi na fisi ukasema umefanya jambo jema. Kama ni muungano basi tuungane na Msumbiji na Zambia na Kongo kabla ya hizi nchi ndogo ambazo hazina cha kuchangia zaidi ya kutunyonya.
Chanzo; Tanzania Daima Desemba 5, 2012.

Hapa hakuna cha NEKI mpya wala nini!

TUKIWA kijiweni tukitafakari jinsi mafisi na mafisadi walivyopanguana na kupangana kule Idodomya, si Dk. Mpemba kaja na mpya.
Anaingia akiwa anaimba: ‘Uangusho uangusho uangusho Karumekeenge naye yumo ati!’ Hatumuelewi kwanza. Mara Dk. Mbwamwitu anaamua kumtolea uvivu. Anasema: “Ami leo kunani au nawe umejiunga na Uangusho baada ya kuchoshwa na ndoa ya Maalim Madefu wa Kaafu?”
Mpemba kaguswa pabaya! Anakwanyua mic na kuchonga: “Kwanza mie si mwanachama wa Kaafu. Pia si wa kundi hili la kigaidi la Uangusho ambalo hakika miye naona la magamba.”
Mbwamwitu hakubaliani naye. Anamuuliza: “Sasa kama wewe siyo hao alkaida, sorry Uangusho, mbona unaimba wimbo wao hata kama unawaita makenge?”
Mpemba anajibu: “Miye sijasema eti Uangusho makenge ati. Lau wangekuwa makenge tusingewahofu hawa. Hawa alkaida ati. Nisemacho ni kwamba Karumekenge aliyepitishwa na hao mafisadi wenzake kuwa rahisi wa Zenj ameumbuliwa nao hao wenzake.”
Kabla ya Mbwamwitu kudakia, Dk. Mgosi Machungi anatia buti. “Shisi hatikieewi inaposema Kaumekenge naye yumo. Kwani huyo Kaumekenge ni nani hadi akushughuishe?”
“Yaani wewe hujui Karumekenge ni nani?”
“Yatosha jamani mshamjua kuwa ni yule Amii aliyepitishwa kuwa rahisi wetu wakati hakufaa na sasa ameamkia kwenye Uangusho,” alisema Mpemba huku akibwia gahawa yake.
Kabla ya Dk. Mpemba kuendelea, Profesa Msomi Mkatatamaa aliingilia kati. “Ami kumbe hukuwa unaujua mchezo mzima! Hawa wanasiasa uchwara walioondoka kwenye ulaji wa bure wakiwa wanautaka, wanatafuta mwanya wa kutengeneza nyufa ili waonekane wakombozi hali itakapokuwa mbaya.” Anabwia kahawa yake na kutazama huku na huku na kuendelea:
“Ingawa wanaweza kujiona wajanja kwa hujuma na upuuzi wanavyofanya, moto wanaotaka kuuwasha hawawezi kuuzima. Si wao na hao vibaraka wao wala mabwana zao. Tunapaswa kuwashughulikia mapema kabla hawajatugawa kwa tamaa zao.”
Kila mtu ameweka mkono kwenye tama akisikiliza mapwenti ya Msomi wetu kijiweni. Kabla ya kuendelea, Dk. Kidevu anamuuliza swali. “Pworofwesa, unataka kutwambia kuwa hata manyang’au mafisi na mafisadi nayo yameanza kustukiana kiasi cha kuanza kuzomeana kama walivyomfanyia Karumekenge aliyewatusi kuwa wana ubongo wa samaki?”
Dk. Mipawa halazi damu, anakwanyua mic. “Nazani kama magamba yaliyomzomea Karumekenge yana ubongo wa samaki, basi yeye anao wa kenge kama jina lake.”
Wanywa kahawa hawana mbavu kwa jinsi Dk. Mipawa anavyowapaka mafisi kwa maneno makali yenye lafudhi ya Kisukuma.
Wakati watu wakiendelea kuvunjika mbavu, Dk. Mgosi Machungi anakatua mic. “Dokta Mpemba hemu tiambie. Hivi nkwanini nyinyi huko mnapenda kutumiana?”
Kabla ya kuendelea Mpemba anajihami. “Yakhe sasa haya nmatusi. Twatumiana vipi wakati watu wajinga wajinga wataka waonekane wajua wakati hawajui kitu kama huyu juha Karumekengee.” Anavuta sigara kali yake na kumpasia kichungi Mbwamwitu na kuendelea:
“Kama magamba yatumiana nyuma ya pazia usiseme ni sote. Wao kwelii watumiana tena kwa siri na wazi wazi. Sie wananchi twapinga kutumiwa ndo maana wale watu toka vi-island walimzomea Karumekenge.”
Dk. Mgosi Machungi kanogewa, anaamua kukwanyua mic tena. “Kama huyu Kaumekenge ndiye Uangusho yawezekana ndiye aitoa bendera yetu kwa Waiani kufanyia biashaa yao ya haramu, hebu tijaribu kufikii pamoja.”
Dk. Mchunguliaji haniangalii mwenyekiti lau nimruhusu, maana tangu mada ianze inaonekana kama mwenyekiti sina kazi na kama ninayo basi mimi boya. Anyways, I have decided to let the vent. The whole schemata are supposed to look like that in such kind of circumstance.
Lo! Nimevutiwa hadi nikaonyesha usomi wangu.
Anyways, Kikameruni kinajua kung’ang’ania ubongo. Dk. Mchunguliaji aliendelea: “Kumbe Dk. Mgosi ulikuwa hujui hili! Mbona kila mtu anajua ni nani alichuuza bendera yetu kwa wanaharamu wale.”
“Mimi naona tuachane na mambo ya Karumekenge na ukenge wake wa kuangusha akijitia Uamsho. Hebu jamani tuchambue hii NEKI mpya iliyoundwa juzi na wabaya wetu,” alipendekeza Dk. Mipawa.
Dk. Machungi anadakia: “Ie NEKI kwei neki. Maana ukiangaia mijitu yenye kia uchafu kama Phil Jaff Mangu na Zaki Mengjii unashangaa na kugundua kuwa kumbe kazi ya inzi ni kucheezea kinyesi. Hivi hawa waiosababisha wizi wa HEPA wana jipya gani zaidi ya kuja kusuka wizi mwingine?”
“Du! Mgosi sikuwezi kwa kukumbuka mambo makubwa kama haya. Tena jana nilisoma kwenye gazeti la Tanzania Ever, Dk. Silaha akizidi kumkaba shati Phil Mangu,” alichomekea Dk. Mbwamwitu.
Profesa sasa kafika mwake. Anakatua mic na kuanza kutoa lecture. “Nadhani wengi hawajui kuwa haya ni maandalizi ya wizi wa njuluku nyingine kwa ajili ya uchakachuaji na uchafuzi ujao. Ingawa baada ya Mangua kukamilisha wizi wa HEPA na kusababisha ushindi, Njaa Kaya alimpiga kibuti na kumteua mropokaji Yusuf Ma-rope kwa kuogopa Mangua angemsumbua kutokana na kujua ubovu na wizi wake.”
Anachukua kashata na kuila na kuendelea huku akikohoa kuweka koo vizuri. “Hapa hakuna cha NEKI mpya wala nini, bali ni kukusanya wezi wazoefu ili wafanikishe ujambazi mwingine.
Mada ikiwa inaanza kukolea si likapita gari la Karumekenge likimuwaisha Airport. Wote tulisimama na kuanza kulisindikiza kwa wimbo ule ule ulioanzia Idodomya. Uangusho Uangusho Uangusho Uangusho Uangusho hadi wapita njia wakaanza kutujalia.
Baada ya kuona ndata nao wanaanza kujisogeza wakidhani nasi tumepagawa kama akina Shehena Pondwa, tuliamua kuvunja kikao. Uangusho Uangusho nanyi mandata Uangusho kama Karumekenge.
Nadhani kaya yetu sasa ya Uangusho maana kila mtu anaangusha mwenzake. Ngoja nami niende kuangusha.
Chanzo: Tanzania Daima Desemba 5, 2012.

Monday, 3 December 2012

Njemba yaogopa kuvaa viatu ilivyonunuliwa na polisi

FacebookNjemba moja jijini New York isiyo na makazi imetoa mpya. Baada ya polisi mmoja kuikuta ikitembea peku peku tena wakati huu wa baridi kali, aliamua kuinunulia viatu vyenye thamani ya dola 100. Kwa mstuko wa polisi, juzi juzi aliikuta njemba ikidunda peku peku. Kisa eti vile viatu ni vya bei mbaya vinaweza kuisababishia njemba mauti! Kwa habari zaidi GONGA hapa.

Sunday, 2 December 2012

Familia ya Kikwete bingwa wa kila kitu

Hakika huu ni usultani unaojengeka taratibu. Mume anapompa  mkewe tuzo kama ilivyotokea hivi karibuni ambapo rais Jakaya Kikwete pichani akimkabidhi tuzo  mkewe Salma wakati wa siku ya maadhimisho ya siku ya Ukimwi Dunia mjini Lindi juzi.

Unavionaje vilima hivi?

Vinaitwa vilima vya Chocolate nchini Ufilipino. Vinapendesa siyo?

Saturday, 1 December 2012

Kikwete wa kweli tofauti na wa vipodozi


  1. Hakuna kitu ambacho wapiga picha wa rais Jakaya Kikwete hujitahidi kama kupiga picha zinazomuonyeshea uhalisia wake. Sasa muda na mikorogo vimeanza kuwaacha kiasi cha kujikuta hawana jinsi bali kutuletea Kikwete ambaye hatukumjua. Inapendeza sana. Hii inaonyesha ukweli kuwa wakati kweli ukuta ukifika unagota.

Wednesday, 28 November 2012

Kushitakiwa Simone Gbagbo ni somo kwa wake za marais

KITENDO cha mahakama ya kimataifa ya makosa ya Jinai (ICC) kuamua kumfungulia mashtaka mke wa rais wa zamani wa Ivory Coast, Laurent Gbagbo, Simone, ni cha kimapinduzi kwa bara la Afrika.
Hivi karibuni ICC ilitoa hati za kutaka kukamatwa na kufikisha kwenye mahakama hiyo Simone akikabiliwa na makosa ya ubakaji, mauaji na uharifu dhidi ya ubinadamu yaliyotendeka wakati wa mwisho wa utawala wa mumewe mapema mwaka juzi kuja mwaka jana.
Gbagbo aliangushwa baada ya majeshi ya Umoja wa Mataifa na Ufaransa kuingilia kwenye mzozo nchini mle mnamo Aprili 2011.
Jumuia ya kimataifa iliamua kuingilia kwenye mgogoro wa Ivory Coast baada ya Gbagbo kuandaa uchaguzi na baadaye kudharau matokeo ya yaliyompa ushindi mpinzani wake Allasane Ouattra rais wa sasa.
Kitendo cha Gbagbo kugoma kuachia madaraka kilimfanya mpinzani wake aungane na waasi waliokuwa upande wa Kaskazini.
Kitendo hiki kiliigawa Ivory Coast kati ya Kaskazini kwenye waislamu wengi na watu wenye asili ya Burkinabe na Kusini kwenye wakristo wengi na waliojiona kama wenye haki ya kutawala kwa sababu ya asili yao ya hapo hapo Ivory Coast.
Mvutano baina ya Gbagbo na Ouattra ulidumu kwa miezi mitano. Hata hivyo, matokeo ya hali hii hayakuwa mazuri. Kwani watu wapatao 3,000 walipoteza maisha huku mamia wakikimbia nchi yao. Pia mvutano huu uliivuruga Ivory Coast kiuchumi, kisiasa na kijamii. Bado nchi inauguza madonda baada ya kuondolewa kwa Gbagbo aliyetolewa kwenye handaki akiwa hoi bin taabani kutokana na kuishiwa matumizi.
Baada ya Gbagbo kutolewa shimoni, alipelekwa sehemu mojawapo ya Ivory Coast na baadaye akasafirishwa kwenda The Hague ambako alikuwa ameishafunguliwa mashtaka. Tangu wakati huo Gbagbo amekuwa akishikiliwa mjini The Hague akingojea kusikilizwa na kuamriwa kwa kesi yake.
Baada ya kupelekwa Gbagbo The Hague wengi walidhani ulikuwa mwisho wa sakata. Hawakujua kuwa kumbe na washirika wake hasa mkewe na waziri wake mkuu wa zamani wangefikishwa mahakamani kujibu mashitaka sambamba na Gbagbo.
Simone anasemekana kuwa nguzo na sababu ya Gbagbo kung’ang’ania madaraka. Pia kama mke wa rais na msomi mwenye shahada ya juu ya PhD kwenye historia kama mumewe, Simone anasemekana kuwa na nguvu sana nchini humo kiasi cha kuogopewa kuliko hata Gbagbo mwenyewe.
Na huu umekuwa mchezo mchafu ulioanza kuota mizizi katika tawala nyingi fisadi na za hovyo za kiafrika ambapo wake wa marais hujigeuza marais kwa vile wanalala kitanda kimoja na rais. Miaka michache iliyopita tulishuhudia mke wa rais wa Kenya, Lucy Kibaki akiwachapa makofi waandishi wa habari baada ya kuvamia ofisi zao na kuwazuia kurusha habari zilizokuwa zikionyesha ufisadi wake kwenye sakata la wizi wa mahindi ya umma.
Nchini Zimbabwe mke wa rais Robert Mugabe, Grace Marufu anatuhumiwa kuibia benki kuu ya nchi hiyo mamilioni ya dola akiyatapanya kwenye vipodozi na mavazi ya fasheni ya bei mbaya hadi kuitwa Grace Gucchi. wakati mke wa rais akifanya upuuzi wote huu, wazimbabwe walio wengi wanakufa kutokana na ukata na kuvurugika kwa uchumi wa nchi hiyo vilivyosababishwa na ung’ang’anizi wa rais wa nchi hiyo.
Pia hivi karibuni tulisikia kuwa nchini Uganda rais Yoweri Museveni anamuandaa mkewe kumrithi. Hakika hali ni mbaya kwenye nchi nyingi za kiafrika. Wake wa marais hata watoto wao ima huingia moja kwa moja kwenye siasa au kuanzisha NGO na kuzitumia kuibia umma ukiachia mbali kupata upendeleo kwenye taasisi za kifedha na hata wengine kushiriki biashara haramu kama vile madawa ya kulevya.
Hivyo, kilichotokea kwa mke wa Gbagbo kinapaswa kuwa somo tosha kwa wake wa marais wanaotumia madaraka ya waume zao vibaya. Inashangaza kuona kuwa kizazi cha sasa cha watawala kimekuwa na upofu kiasi cha kutoogopa kinachoweza kutokea hapo baadaye.
Siyo siri wala uchochezi: Afrika kwa sasa ina akina Imelda Marcos wengi. Imelda alisifika sana nchini Ufilipino kwa kutumia madaraka ya mumewe kuiba na kufuja pesa ya umma huku umma ukiangamia hadi siku serikali ya mumewe ilipoondolewa kwa maandamano ya umma mwaka 1986. Inashangaza ni kwanini hawajifunzi hata kutokana na matukio ya karibu kama vile kukamatwa kwa rais wa Misri Hosni Mubarak sambamba na watoto wake pekee wawili wa kiume. Bado hawajifunzi kutokana na yaliyomkuta Gaddafi na watoto wake ambapo baadhi waliuawa na aliyetarajiwa kumrithi anashikiliwa korokoroni huku akikabiliwa na mashtaka mbele ya ICC.
Kitendo cha ICC kumfungulia mke wa rais wa zamani wa Ivory Coast chaweza kuwa mwanzo wa mwisho wa wake za wakubwa wanaotumia madaraka ya waume zao vibaya. Ni vizuri nchi za Kiafrika kuanza kubadili katiba zake na kuweka vipengele vya kuwawajibisha wezi wa madaraka kama hawa sambamba na waume zao na hata familia zao.
Chanzo: Tanzania Daima Novemba 28, 2012.

Tuesday, 27 November 2012

Is it Bongoland, Bongolalaland or Vigogoland?

God so (dearly) loved mankind that he sent his only son to save them, (John 3: 16). So too, the rulers of our hunk loved those they rule so as to send their kids to serve them, (BoT 1: 13 and Health 1:5). When predatory policies blessed by the power that be came into being, our people found themselves in precarious situation. They found themselves being vulnerable to the potential and imminent dangers of the system.  As this unfolded, the devil (charlatans) hoodwinked them (hoi polloi) to take such manmade disaster as a normal- God- given thing! They want them to live like Humilliati of 12th century. Hell no. 
Our people have always lived a squalid life of rascals. Instead of being up in arms or apply political jiu-jitsu, they’ve been made to believe that this is their fate. They're told not to disturb the peace of those who “own” the hunk by deceit. They must leave their plight and fate in the hands of their tormentors!  What fate can be decided by binadams instead of God? How can innocent tax payers keep on cascading down into abject poverty while their homemade thieves are getting richer and richer? 
 I know too well that this piece will annoy many people especially those behind the miseries of our beloved people. They’ll see me as prophet of dooms while they actually have been making the same dooms. Hating or discrediting me is like hating the photo while the one who made it is loved. Again, what goes around comes around. This is an unbeatable phenomenon. People need to be given the benefit of the doubt.
Essentially, we’re sitting on the ticking bomb wrongly thinking it won’t explode! Some politicians have even boisterously taken advantage of it stupid. They pretend to talk about jobs while their kids suffer no Joblessness. Currently, there’s news doing rounds online on nepotistic and corrupt employment of the children of bigwigs in the hunk. True, beneficiaries and their courtiers see nothing in employing the kids of movers and shakers in the hunk. They just say that those guys are fancily educated.  Tell it to the birds. How many mkulima’s and mfanyakazi’s children are out there wandering with their degrees while the kids of the biggies chad everything from public big time? How many rambunctious  sons and daughters of paupers are rotting out there without getting a job while the fat cats are dilly dallying in rich made by the way of robbing the public? What a primitive idea!
 
What we see is what we get. I recently came across names of Bank of Tanzia employees who happen to be kids of the biggies. This scandal of nepotism has gone viral as it rankles online. People are trying to air their pent-up choler by flaunting the names of the kids of politicos employed in public office just because they bear big names. These names are Sallyma Ally H. Mwinyi, Blaziaa William Nkapa, Pamela Eddie Lowassa, Zaria-zari Kawawa, and Fillybat Freddie Sumaye.
Others are AJabir A. Kigoda, Violent Phil Luhani-njoo and Justie Joseph Mungai. Others are Harietha Martenus Lumbago, Rechwo Muganda the daughter of the spouse of the former BoT governor (Dadi Balali), Sallyma Omar Mahita, Tommy Mongella, Likwu Kate Kamba, and Ken Nchimbi-li. 
Evidently, the ministry of Health is not spared of the virus of employing the princes and princesses. On the spot are names such as Drs. Janet Joji Kahamma, Hawaa R. Kawawa, Goony K. Kamba, Aasha O. Mahita and Ama-nii K. Malima. Interestingly, all of them are employed in Dar not Uswekeni. 
The cabinet, too, is not left behind. There are names such as Emmy Nchi mbi, Jan Makamba, Ad-aam K.Malima andAbdi and Hossein Ally Mwinyi. The parliament, too, has the same colour of mighty and glory. Those in the house are Wars and ZayB Kawawa.  I once listed the children of vigogos stashed abroad in our embassies. Names that feature in the list are Nkapa, Sokoini, Tibandebagi, Sija-see (Ona), Mwingi-ra, Ka-fanabo, Mu-nanka, Ka-rume and Msekua to mention a few.
Again, how many children of who’s who in the hunk are in such fat sectors such as TRA, Harbours, Immigration, Judiciary, Tourism, Trade, Minerals and what not? They may think they’re invisible, but the eye of the society sees them. 
The other day little bird told me that the high and mighty would like to see the hunk they’re milking being handed over to their kids and their kids hand it to their grandkids. This way ad infinitum! It means: the mwananchi has no longer a hunk to call his. He’s just a tool in the hands of supremos.  This selfishness and greed, if not stopped, is likely to cause morass and chaos. Hyenas can’t think out of their stomachs. This is what one fyatu told me the other day. He said that we’re experimenting hyenaism aka ufisi. We egg those implicated to do the right thing- stop, stop, stop just now.  Are you waiting for a had-we-known regret? Otherwise, what’s going on is a future ayiko-shinju or parent-child suicide. Is it wise to punch a knife’s edge?
“All truths are easy to understand once they are discovered, the point is to discover them,” Galileo Galilei. Again, is it Bongoland, Bongolalaland or Vigogoland?
Source: Thisday November 26, 2012. 

Monday, 26 November 2012

Uingereza yamteua Mkanada kwa gavana wa Benki Kuu

Gavana wa Benki Kuu ya Kanada Mark J Carney (47) ameuliwa na waziri wa fedha wa Uingereza George Osborne kuwa gavana mkuu wa Benki Kuu ya Uingereza. Uteuzi huu usiozingatia mipaka umewashangaza wengi ingawa Carney anajulikana alivyo gwiji wa masuala ya fedha. Sifa iliyomfanya Carney ateuliwe ni uwezo wake wa kuhimili msisukosuko ya kiuchumi iliyoikumba dunia. Akiwa gavana wa Benki ya Kanada, Carney ameweza kusimamia Benki hiyo na kuifanya Kanada kuwa nchi mojawapo inayoheshimika kiuchumi duniani. Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.

Friday, 23 November 2012

Heshima, kujikomba au kupenda usomi?

Je hapa nani anamdanganya nani?

Rais Jakaya Kikwete akipokea cheti cha Udaktari wa  Afya ya Jamii (Public Health) Honoris Causa toka kwa makamu  mkuu wa Chuo kikuu cha Sayansi na Afya Shirikishi Muhimbili, Prof Ephata Kaaya ikulu jijini Dar es salaam. Kikwete alitunukiwa shahada husika mwaka 2010

Thursday, 22 November 2012

Picha ya leo


Hatimaye ICC yamfungulia mashitaka mke wa Gbagbo


Message to the International Criminal Court’s Judges
Dk Simone Gbagba hivi karibuni ataungana na mumewe Laurent Gbagbo kukabiliana na kesi ya uharifu. Kwa wanaojua tabia chafu na hatari ambapo wake wa marais wa Afrika wanatumia madaraka ya waume zao, watakumbuka jinsi Simone alivyokuwa nguzo nyuma ya uovu uliotendwa na Gbagbo. Kwa wenye kuchukia tabia hii, kufungliwa mashtaka kwa Simone licha ya kuwa faraja ni ushindi kwa wapenda haki. Pia ni somo kwa wanaowaruhusu wake au waume zao hata watoto wao kutumia madaraka yao kinyume cha sheria. Kwa habari zaidi Bonyeza hapa.

Wednesday, 21 November 2012

Rais JK, Mangula wana siri nzito


KWA wanaokumbuka, Makamu Mwenyekiti mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Japhet Mangula, Katibu Mkuu wa zamani wa CCM, watakubaliana nami kuwa aliondolewa kwenye nafasi ya ukatibu kwa aibu ya aina yake.
Pamoja na kukitumikia chama kwenye nafasi ya ukatibu chini ya uenyekiti wa Benjamin Mkapa na kusuka mpango wa kuiwezesha CCM kushinda, Mangula alitupwa nje na Rais Kikwete pindi aliposhika wadhifa huo.
Wachambuzi wengi wa mambo, wakati ule, waliona kama Rais Kikwete alikuwa ameonesha kigeugeu katika kupangua watendaji wa Mkapa na kuweka wake wakati akijua fika kuwa ni Mkapa na Mangula waliomsaidia kushinda na hata wakati mwingine kusaka fedha haramu kama za EPA kama ilivyowahi kudaiwa na mwanasheria aliyesimamia dili hili zima, Michael Bhyndika Sanze.
Mengi yalisemwa juu ya urais wa Kikwete kuanzia shutuma za wizi wa pesa ya umma kutoka kwenye Benki Kuu chini ya kashfa ya EPA ambayo Kikwete aliizima baada ya kukabidhiwa mikoba.
Yalisemwa pia ya Kikwete na kampeni zilizotumia pesa ya EPA kuwahonga wapiga kura baada ya kuwachafua wagombea walioonekana kuwa tishio, hasa Salim Ahmed Salim ambaye uzalendo wake ulitupwa kando na kuitwa Mwana Hizbu, hata Mwarabu wakati ni Mtanzania safi.
Kwa wanaojua mchezo mzima, kilichomponza Mangula hakijulikani wazi na bado kimeacha maswali kwanini Kikwete alimtema haraka, hivyo huku akimkingia kifua Mkapa?
Si Mkapa, Mangula wala Kikwete waliowahi kukanusha shutuma hizi nzito pamoja na Dk. Willibrod Slaa kuwataka wafanye hivyo mara nyingi.
Laiti Mangula angejua kuwa mambo yangebadilika haraka namna ile, angekata pua na kuunga wajihi wakati ule kabla ya kutimuliwa na kuadhirika kiasi cha kurejeshwa chamani kama zana nyingine yoyote.
Kwa wanaofahamu jeuri ya Mangula na alivyotupwa, wameshangaa jinsi alivyokubali kuramba matapishi yake sawa na Kikwete aliyemtupa nje baada ya kupata uenyekiti. Maana aliwahi kusema kuwa wastaafu wasikae Dar na kufungua NGOs, waende vijijini.
Je, nini siri ya Rais Kikwete na Mangula “kurudiana”? Je, Kikwete amegundua kosa lake au Mangula amepunguza hasira zake? Je, hii ni ndoa ya mashaka au mwisho wa uhasama?
Kwa wanaojua maisha ya watumishi, wanaoachia ngazi bila kuiba vya kutosha, bila shaka watakubaliana nami kuwa Mangula amelazimishwa na ukata kukubali kumtumikia Kikwete hasa wakati huu ambapo watu angalau waadilifu, au wenye madhambi yaliyofichika na wenye busara ni wachache ndani ya CCM.
Kwa upande wa Kikwete, naye kama Mangula amelazimishwa na ukata wa uadilifu kiasi cha kuramba matapishi yake. Je, ndoa hii itafana na kufanikisha kile walichodhamiria ambacho ni kuifufua CCM ili iweze kuwa ‘fit’ kuelekea uchaguzi 2015?
Kila mti utaujua kwa matunda yake. Maneno ya Mangula wakati wa kuwashukuru wajumbe kwa kumpitisha nadhani yanaweza kutufungulia kijidirisha cha kuchungulia kilichomo moyoni mwake. Alikariri, “Isifike mahali CCM ikatangaza tenda ya uongozi,” Je, hapa Mangula alikuwa akimpiga kijembe bosi wake ambaye ilidaiwa aliingia madarakani kwa pesa, tena pesa yenyewe chafu au maswahiba wa Kikwete wanaoutafuta urais kwa pesa chafu itokanayo na usaliti na wizi kwa taifa?
Je, Mangula alilenga kupeleka ujumbe gani? Je, Mangula alikuwa akitubia dhambi ya kuiba pesa na kuitumia kama hongo aliyoishiriki wakati wa kuitafutia CCM ushindi wa urais wa Kikwete? Je, alikuwa akiwakumbusha wale wanaotaka urais kuwa kipindi hiki hatashiriki mchezo mchafu kama huu?
Je, Mangula amekubali nafasi husika kwa masharti ambayo ni siri ya wawili kiasi cha kuwa na jeuri ya kutamka maneno yanayoonekana wazi kumgusa bosi wake ambaye ni hasimu wake wa zamani kimsimamo? Hakika ndoa hii ya wawili inaacha maswali mengi kuliko majibu.
Je, Mangula ambaye aliondoka kwenye ukuu kwa aibu ana jipya gani la kuleta katika CCM? Mangula baada ya kutemwa na Kikwete alijaribu kugombea uenyekiti wa Mkoa wa Iringa akabwagwa na Deo Sanga mwaka 2007.
Baada ya hapo alijaribu kugombea ujumbe wa NEC jina lake halikurudishwa. Kwa wafuatiliaji wa mambo kitendo cha Mangula kujishusha hadi kugombea cheo kidogo kama kile kilionekana kama mtego kwa CCM, ingawa wakati ule si Kikwete wala CCM waliojali.
Je, ni kitu gani ameifanyia CCM hadi kumkumbuka? Je, ametubu dhambi zake au waliomtema wamejikuta wamebanwa kiasi cha kukuta kuwa Mangula ndio muarobaini? Hata hivyo Mangula ambaye ameonesha kushindwa tena kwenye nafasi ndogo anaweza kuleta jipya gani zaidi ya kutafuta riziki? Je, atakubali kuacha msimamo wake na kile anachoamini ili kuishi?
Wahenga walisema: mtumikie kafiri upate mradi wako. Je, haya yanajidhihirisha kwa Mangula? Kwa wanaojua tabia ya Kikwete, wanatia shaka kama ndoa hii itadumu hasa ikizingatiwa alivyomtema Yusuf Makamba baada ya kugeuka mzigo na kumteua Wilson Mukama ambaye aliishia kuwa mzigo hata zaidi ya Makamba.
Chanzo: Tanzania Daima Novemba 21, 2012.

Kumbe Karumekenge ni uangasho!


TUKIWA kijiweni tukitafakari jinsi mafisi na mafisadi walivyopanguana na kupangana kule Idodomya si Dk. Mpemba kaja na mpya.
Anaingia akiwa anaimba: Uangusho, uangusho, uangusho, Karumekeenge naye yumo ati! Hatumuelewi kwanza.
Mara Mbwamwitu anaamua kumtolea uvivu. Anasema, “Ami leo kunani au nawe umejiunga na uangusho baada ya kuchoshwa na ndoa ya Maalim Madefu wa Kafu?”
Mpemba kaguswa pabaya! Anakwanyua mic na kuchonga, “Kwanza mie si mwanachama wa Kaafu. Pia si wa kundi hili la kigaidi la Uangusho ambalo hakika miye naona la magamba,”
Mbwamwitu hakubaliani naye. Anamuuliza, “Sasa kama wewe siyo hao alkaida sorry Uangusho mbona unaimba wimbo wao hata kama unawaita makenge?”
Mpemba anajibu, “Miye sijasema eti uangusho makenge ati. Lau wangekuwa makenge tusingewahofu hawa. Hawa alkaida ati. Nisemacho ni kwamba Karume -kenge aliyepitishwa na hao mafisadi wenzake kuwa rahis wa Zenj ameumbuliwa nao hao wenzake.”
Kabla ya Mbwamwitu kudakia, Dk. Mgosi Machungi anatia buti, “Shisi hatikieewi inaposema Kaumekenge naye yumo. Kwani huyo Kaumekenge ni nani hadi akushughuishe?”
“Yaani wewe hujui Karumekenge ni nani wakati ni mtoto wa Abdi aitwaye Ama.. Yatosha jamani mshamjua kuwa ni yule jamaa aliyepitishwa kuwa rahis wetu wakati hakufaa na sasa ameamkia kwenye uangusho,” Alisema Mpemba huku akibwia gahawa yake.
Kabla ya Dk. Mpemba kuendelea Profesa Msomimkatatamaa aliingilia kati, “ Ami kumbe hukuwa unaujua mchezo mzima! Hawa wanasiasa uchwara walioondoka kwenye ulaji wa bure wakiwa wanautaka wanatafuta mwanya wa kutengeneza nyufa ili waonekane wakombozi hali itakapokuwa mbaya,”
Anabwia kahawa yake na kutazama huku na huku na kuendelea, “Ingawa wanaweza kujiona wajanja kwa hujuma na upuuzi wanavyofanya, moto wanaotaka kuuwasha hawawezi kuuzima. Si wao na hao vibaraka wao wala mabwana zao. Tunapaswa kuwashughulikia mapema kabla hawajatugawa kwa tamaa zao.”
Kila mtu ameweka mkono kwenye tama akisikiliza mapwenti ya Msomi wetu kijiweni. Kabla ya kuendelea, Dk. Kidevu anamuuliza swali, “Pworofwesa, unataka kutwambia kuwa hata manyang’au mafisi na mafisadi nayo yameanza kushtukiana kiasi cha kuanza kuzomeana kama walivyomfanyia Karumekenge aliyewatusi kuwa wana ubongo wa samaki?”
Dk. Mipawa halazi damu, ankwanyuma mic, “Nadhani kama magamba yaliyomzomea Karumekenge yana ubongo wa samaki basi yeye anao wa kenge kama jina lake,”
Wanywa kahawa hawana mbavu kwa jinsi Dk. Mipawa anavyowapaka mafisi kwa maneno makali yenye lafudhi ya kisukuma.
Wakati watu wakiendelea kuvunjika mbavu, Dk. Mgosi Machungi anakatua mic, “Dokta Mpemba hemu tiambie. Hivi nkwanini nyinyi huko mnapenda kutumiana?”
Kabla ya kuendelea Mpemba anajihami, “Yakhe sasa haya ni matusi. Twatumiana vipi wakati watu wajinga wajinga wataka waonekane wajua wakati hawajui kitu Kama huyu Karumekengee,”
Anavuta sigara kali yake na kumpasia kichungi Mbwamwitu na kuendelea, “Kama magamba yatumiana nyuma ya pazia usiseme ni sote. Wao kwelii watumiana tena kwa siri na wazi wazi. Sie wanannchi twapinga kutumiwa ndo maana wale watu toka vi-island walimzomea Karumekenge.”
Dk. Mgosi Machungi kanogewa anaamua kukwanyua mic tena, “Kama huyu Kaumekenge ndiye uangusho yawezekana ndiye aitoa bendera yetu kwa waiani kufanyia biashaa yao ya haramu, hebu tijaribu kufikii pamoja.”
Dk. Mchunguliaji haniangalii mwenyekiti lau nimruhusu. maana tangu mada ianze inaonekana kama mwenyekiti sina kazi na kama ninayo basi mimi boya. Anyways, I have decided to let the vent. The whole schemata are supposed to look like that in such kind of circumstance. Lol! Nimevutiwa hadi nikaonyesha usomi wangu. Anyways, kikameruni kinajua kung’ang’ania ubongo.
Dk Mchunguliaji aliendelea, “Kumbe Dk Mgosi ulikuwa hujui hili! Mbona kila mtu anajua ni nani alichuuza bendera yetu kwa wanaharamu wale.”
“Mimi naona tuachane na mambo ya Karumekenge na ukenge wake wa kuangusha akijitia uamsho. Hebu jamani tuchambue hii NEKI mpya iliyoundwa juzi na wabaya wetu,” Alipendekeza Dk. Mipawa.
Dk. Machungi anadakia, “Ie NEKI kwei neki. Maana ukiangaia mijitu yenye uchafu kama Phil Jaff Mangu na Zaki Mengjii unashangaa na kugundua kuwa kumbe kazi ya inzi ni mbaya. Hivi hawa waiosababisha wizi wa HEPA wana jipya gani zaidi ya kuja kusuka wizi mwingine?”
“Du Mgosi sikuwezi kwa kukumbuka mambo makubwa kama haya. Tena jana nilisoma kwenye gazeti la Tanzania Ever Dk. Silaha akizidi kumkaba shati Phil Mangu,” Alichomekea Dk Mbwamwitu.
Profesa sasa kafika mwake. Anakatua mic na kuanza kutoa lecture, “Nadhani wengi hawajui kuwa haya ni maandalizi ya wizi wa njuluku nyingine kwa ajili ya uchakachuaji na uchafuzi ujao.
Ingawa baada ya Mangua kukamilisha dili ya HEPA na kusababisha ushindi, Njaa Kaya alimpiga kibuti na kumteua mropokaji Yusuf Ma-rope kwa kuogopa Mangua angemsumbua kutokana na kujua dili ya Hepa.”
Anachukua kashata na kuila na kuendelea huku akikohoa kuweka koo vizuri, “Hapa hakuna cha NEKI mpya wala nini bali ni kukusanya wazoefu ili wafanikishe ujambazi mwingine.
Mada ikiwa inaanza kukolea si likapita gari la Karumekenge likimuwaisha Airport. Wote tulisimama na kuanza kulisindikiza kwa wimbo ule ule ulioanzia Idodomya. Uangusho, uangusho, uangusho, uangusho, uangusho hadi wapita njia wakaanza kutujalia.
Baada ya kuona ndata nao wanaanza kujisogeza wakidhani nasi tumepagawa kama akina Shehena Pondwa tuliamua kuvunja kikao. Uangusho uangusho nanyi mandata uangusho kama Karumekenge. Nadhani kaya yetu sasa ya uangusho maana kila mtu anaangusha mwenzake. Ngoja nami niende kuangusha.
Chanzo: Tanzania Daima Novemba 21, 2012. 

Tuesday, 20 November 2012

UKIMWI, je tunachezewa akili au?

Ukimwi sasa una zaidi ya miaka 20 tangu "ugunduliwe". Je kunani nyuma ya pazia? Hebu angalia video hii.


Hatimaye Mr Bean atangaza kuachana na uigizaji

Gwiji wa vichekesho wa Uingereza Rowan Atinkson or Mr Bean hivi karibuni ataachana na uchekeshaji ili kuanza kuishi kama mtu wa umri wake. Kinachosikitisha ni kwamba kuigiza mambo ya kitoto na kiutani sana kumemfanya akose hata mbinu ya kuwatokea akina mama kiasi cha kuishi na dubu. Kwa habari zaidi BONYEZA hapa

Monday, 19 November 2012

Waheshimwa name names please

The other day I went to the pub to quaffer with friends.  This is where many disgruntled Bongolalalanders floak to hobnob and dream big. If you want to know the hidden lives of our politicos, simply attend regularly. These common earthlings know almost every thing bigwig wear from the diaper, sorry, underwear to the “small house”t hey go to be “skinned” like a goat. This is where I got the names of the bandits who stashed money abroad. A good thing about drinking is: the guys there don’t know the word anonymous or fear.  They willy-nilly jabber whatever they want in a hurly-burly without any fear.
 It is an open secret. We’ve a lot of unfaithful and thievish supromos in our hunk especially in public offices they use to rob us. Since Swiss Authorities spilled the beans that some noble bloodsuckers stashed millions of dosh there, the power that- be has become dumb and deaf. After such earth-shaking revelations many goofed; thinking such news would be a welcome.  Wonder not! It isn’t.  Those alleged to have committed such sodden actions, either are still in office, or have their consigliore and abettors in our fucked up offices known as public ones.  In a phrase, public offices have become public offerings for noble or big thieves to rob. Who cares especially now when thieves are called honourable and vice versa? 
Time’s been flying by without anybody taking on these noble brigands except imbibers. We need wahishimiwa who hate such boorish behaviour to name names.   I heard some of them moving motions in the diet seeking to divulge names. Will the speaker allow such hara-kiri stance?  If you’ve evidence be it puffed up or circumstantial, please spill the beans. We’re tired of politicking while hoi polloi are sinking in destitution caused by such bastards.  If I were a waheshimiwa I’d summon some roundsmen and spill all beans. I’d do so knowingly that those thieves can’t sue anybody under the sun. Where are the goons who forged their “degrees”?  One guy named names even by authoring a book. Those stooges bullied to sue to no avail. This is Bongolaland. They knew.  When something becomes an in-thing soon it is forgotten as was in the cases of EPA, Richmonduli, Meremeta and other sacriligos the regime has committed. So guys, name names and fear not.  The sun won’t fall on you.  Do like Dr. Willy Slaa on the List of Shame.
Believe you me. At our kanywaji, names were flouted like crazy. While waheshimiwa fear to name names, boozers fear nothing even if those implicated are in power.  Boozers aren’t coward like them. Imbibers went a mile ahead associating the list of thieves with big purse in Switzerland with the list of shame that Dr. Willy Slaa tossed a few years ago. I’d have divulged those names I heard at the booze bath. Again, given that my sources were drunk from being heavy-eyed to pie-eyed to wall-eyed, I bet. It won’t do me good. Instead, I will just repeat those two names everybody knows of And Chenge and Id Rashid who were implicated by SFO.
More on heshimiwas, with all immunity and what not you have, why don’t you name names? Yoo-hoo. If you keep on bringing headless motions without naming names people will think you want them to think that such a scandal and allegations are trumped-up stuff next to bo-peep. They won’t differentiate from those serious waheshimiwa and political thugs. Whatever you say will be regarded as power that-be’s hotchpotch if not mealy lies. 
To stop tongue wagging, why don’t you recalibrate the manner and courage you employed when you blew out and dealt with Richmonduli scandal? What’s amiss? Mzee wa Viwango or courage to take on whoever stands in your way regardless who he or she is? Failure to divulge names of those mighty thieves, you’ll be looked down upon if not to be branded liars, rubber stamps for corruption and conspiracy. Are you ready to be called names for not naming names? Verily, people are tired of yada yada, hoo-has and ballyhoos and abracadabra.
It is a nonsensical and feeble-minded act per se-- to keep mum on the dosh stashed abroad while our economy’s always in dire straits for decades. If anything, those presiding over such a regime making do with such situation are nothing but hypocrites and cowards.  We don’t want the guys who shift gears whenever we want them to be accountable.  We don’t want our rulers to be seen as yin and yang to venality and impunity. Show ‘em the door. Who wants to hear the story of the Njaa Kaya’s two-headed serpent in the house? If you know there’s a serpent in your house, kill it instead of making nonsensical statements. Aren’t yourself the said serpent that’s why you don’t want to kill it? Who wants such sanaas and abracadabra? People want actions especially at this time everybody is competing with another in robbing the public. It’s appalling for our hunk to send its president to beg almost everywhere. But when such begged monies are available, it sickens to find that they end in Swiss Banks instead of resuscitating our economy and our people. Shame on you all who rob and rape my hunk.  “The price good men pay for indifference for public affairs is to be ruled by evil men,” Plato (429-347 BCE).
Source: ThisDay Nov. 19, 2012

Sunday, 18 November 2012

Makanisa yanayojengwa kwa pesa ya mafisadi ni safi?


Siku hizi jina la Mungu limeisha thamani. Linatumiwa na kila tapeli fisi na fisadi kujipatia riziki au umaarufu. Hapo juu waziri mkuu aliyeondolewa madarakani na kashfa ya Richmond, Edward Lowassa akishiriki harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa kule Manyara.
Katika tukio hili Lowassa alitoa mpya kwa kusema kuwa Tanzania inaweza kutoa elimu ya sekondari bure. Kauli hii iliwashangaza wengi wanaojua matendo ya Lowassa hasa alivyosaidia kampuni feki kujipatia mabilioni ya shilingi. Pia wanashangaa kwanini Lowassa analiona hili baada ya kuondoka madarakani. Je huu si unafiki na ubabaishaji wa kawaida na kutafuta sifa?

Saturday, 17 November 2012

Hebu sikiliza na kusoma hotuba za mabingwa


“My majesty Mr. Queen Sir,
horrible ministers and members of parliament,
invented Guests, ladies under gentlemen.
I hereby thank you completely…..Mr. Queen, sir;
and also what he has done for me and my fellow Uganda
who come with me.
We have really eaten very much. And we are fed up completely:
And also very thanks to you keenly open up from all windows:
so that those plenty climates can come into lunch. But before I go
back to my country with a plane from the Entebbe airport of London
I wish to invitation you Mr. Queen, to become home to Uganda so
that we can also revenge on you .
You will eat a full cow: and also feel up your stomach and
walk with difficult because of full stomach completely.
Even when you want to rest at night; I will make sure that
you sleep on top of me in the top up stairs of my mansion
completely so that you can enjoy all the gravity of fresh air.
“But now am sorry because I have to tell you that I have
made a short call on you only. But next time I shall make a long call
on you to last the whole moon completely. Thank you very much
to allow me to undress you completely before these extinguished
ladies under gentlemen sir.
Lastly but not list, I ask the band to play our international anthem
of the republic of Uganda and also the British international anthem…Your majesty sir, I thank you from the bottom of my heart and from the bottoms
of all the people of Uganda .
With this few words I thank you Sir.