The Chant of Savant

Sunday 14 February 2016

Are Hindis racists?



  I can see that guy shaking his head thinking I’m making this question up. No, the question’s been adapted from Indian NDTV (4 Feb, 2016) after a Bongolalaland girl–who happens to be the daughter of my best friend–was molested, beaten and unpainted. The NDTV wrote, “Are Indians racists? The question appeared to dominate social media and prime-time TV shows in the country on Wednesday after a disturbing incident earlier this week.”
            The NDTV went on reporting that “A 21-year old Tanzanian student in the city of Bangalore in southern India told the police that a mob pulled her out of her car before setting it ablaze on Sunday night. She said the mob then beat her up, molested and stripped her, and paraded her naked.” All hell broke loose after a Sudanese student knocked down an Indian woman. Thereafter, any Swahili seen around by gabacholis was a fair game. Interestingly, despite such brutality, there’s no call in Bongo to reciprocate by attacking Hindis. Guess well what’d happen had the situation been vice versa. Ironically, when the said girl’s molested, maltreated and beaten reports had it that the cops were there just enjoying a free movie instead of taking any action. How’d they bother while a Swahili’s being taught a lesson? This reminds me of Jarawa Swahili–who are trapped in a time capsule–in the Andaman Island where gabacholis go there to view them like animals. Again, if you look at the pigments of our skins some are even dimmer than those they deem to be the darkest. I don’t know if there’s a Swahili MP in Hindiland.
            You wonder. How can somebody’s fault be punished on another? For boozers who know how Northern Sudanese who view themselves as Arabs though they’re Swahili you wonder how can a Bongolalalander be substituted by an Arab?
            Again, the history of racism goes back many years ago when it’s found in Spain before brutish British colonial rule expanded it to all corners of the world. Historically, Hindis were brought by British to serve as middlemen who’d buy produce from Swahilis at throwaway prices and sell them to their masters. They’re imported under the pretext of constructing railway.  Hence, even after those who cloned them handed over our half-baked independence–thanks to our generosity–the post-colonial govt didn’t ask the Brits to take their burden with them.
            Coincidentally, the victim who’s molested in Hindiland’s a daughter of my best friend. So, you can connect the dots and see how I’ve vested interests in this criminality.  As I went to console him he said, “To be honest, when the news broke that my daughter’s molested and brutally beaten simply because another Swahili caused an accident, I remembered two dudes, Idi Amin, former Ugandan butcher and Chris Mtikila whose outbursts reduced racist behavior among the said caste members.”
            Another one who also was there to console our friend chipped in, “Show me any Swwahili-hindi couple in the streets of Bongo I’ll give you my cow. We see Swahili-zungu couples but not them. This shows they’re racists through and through.” I’d to chip in to warn my buddies about the unfairness of painting all people with the same brush. The victim’s didn’t buy into my views. He added, “Don’t you know they discriminate against housemaids even in our own hunk and our do-nothing govts do nothing about it? You wonder seeing earthlings who run away from miseries to come and prosper in Bongo to hate and discriminate against Swahili this way.”
            His friend added, “Didn’t you know this is Danganyika! If Chavda, Vithlan, setii Singasinga and other monkeys come and rob our boozers in conjunction with our homegrown robbers do you think they can respect or care about us?” I chipped in. Whose fault’s it if our homegrown thieves invite these racists to come and help themselves? The victim’s dad replied, “how can they respect us while those supposed to protect our rights and humanity are in bed with them? Didn’t you hear Dr. Kanywaji wondering how Hindiland could become a chief tanzanite exporter while the mineral is only available in the hunk on earth? There are a lot to wonder about if you like.”
            After failing to convince my friends, I decided to imagine what’d have happen if Swahili were as stupid and racists as those who brutalized my friend’s daughter.  I consoled my friend telling him that things have changed. And soon he can get the answer to this barbarity and bigotry. Those who think they’ll always get away with murder are wasting time and endangering their future. By the way, is there anything important a human has? If goats and cows can discriminate against me, I’d be happy but not stinking bin-Adam. Look at cows and goat. When they poo, they don’t use tissues or water. When they wake up, don’t brush their teeth. Yet they’ve never been malodorous like humans. Ironically, why don’t these racists appreciate the fact that Bongo’s always filled their vaults by consuming their substandard services and goods? Remember Apollo, universities where boozers send their kids to be discriminated against after butchering their own social services.
Source: Guardian, Feb., 14, 2016.

3 comments:

Anonymous said...

Salamu Mwalimu Mhango,
Kuna ukweli mchungu ambao sisi waafrika wa Sub-Sahara Arika tunaishi nao kwa sababu tu Mwenyezi Mungu ametuumba katika rangi hii nyeusi,maumbile ya nywele zetu na miili yetu(feutures) zetu.Na kwa vile tumekuwa ni sehemu ya wachache (minority) katika dunia hii kwa sababu ya rangi yetu tumekuwa wenye kulengwa kwa kudharauliwa,kunyanyaswa,kukebehiwa na mengine yote ya kumdimiza mwanadamu kisaikolojia hadi kujikuta popote pale tunapokuwepo nje ya Bara letu tunakuwa ni watu wa kudharauliwa na kunyanyaswa tu.

Mwalimu Mhango,Baada ya Wazungu kufikia kuelewa kwa utafiti wao wa kisayansi kwamba asili ya uzawa(cradle) wa mwanadamu umetokea katika bara la Afrika na kwa kuhama kwa mwanadamu huyo kutoka bara la Afrika na kulekea mabara mengine na kujikuta wanachoreka kwa rangi nyingine na maumbile mengine(feutures) wameamua kujisahau kwa makusudi kuhusu rangi yao ya asili ambayo ni nyeusi waliyotoka nayo walipoliacha Bara la Afrika,hatimae baada ya kurudi Katika Bara mama la Afrika kwa sababu moja au nyingine iwe ni ya ukoloni(wizi,dhuluma,na mauaji) au kidini(kututia ujinga wa makusudi wakijifichia dini hizo) wametugeukia sisi wanadamu wa asili na kuanza kutupiga vita vya kisaikolojia kwa kupitia ubaguzi wa rangi yetu na maumbile yetu,kwamba rangi yetu ni mbaya na maumbile yetu ni mabaya na wamekuwa wakiitumia silaha hiyo ya kisaikolojia na kutuimbia wimbo huo kwa sauti na maandishi hadi hii leo na hadi dunia hii itapoisha na kwa kuitumia silaha hiyo ya kisaikolojia na wimbo huo wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kumfanya mwafrika kutojiamini na kutojipenda kwa rangi yake na maumbile yake kiasi ambacho wamefikia kuashiria mwashirio wa rangi nyeusi sio rangi ya kupendeza;siku nyeusi,kondoo mweusi,soko jeusi,mpaka shetani nae ni mweusi!Na wamezidisha kidonda kukitia msumari wa moto pale walipodai madai ya kitabu chao kitakatifu cha Biblia kwamba katika watoto watatu wa Nuhu aliotoka nao Jahazini baada ya mafuriko ya kuhilikishwa watu wa Mashariki ya Kati,mtoto alielaniwa na baba yake ndio baba wa kizazi cha mtu Mweusi!!!??? Na kwa madai hayo ya Biblia ndio yamemzidishia Mtu mweusi mabalaa ya kutoishi kwa furaha na amani nje ya Bara lake la Afrika.
Inaendelea......

Anonymous said...


Naam,Mwalimu Mhango,swala la ubaguzi ni swala la kihistoria tangu Biblia ilipokuja na madai hayo au story hiyo ya paukwa pakawa ya kwamba kizazi cha mtu mweusi ni kizazi kilocholaaniwa na hata kuna wale ambao wameona ni halali kwao na ni haki yao kumdharau mtu mweusi na kumfanyia biashara ya utumwa muda wa kudumu tu kitabu chao cha dini kimesema hivyo na hata katika kilele cha ubaguzi wa rangi dhidi ya mwafrika kule Marekani kulikuwa na makanisa ya watu weupe peke yao na watu weusi peke yao japo kwamba wote wanaeshirikiana kuamini kwa itikadi kwamba wanaemuabudu ni mtoto yule yule wa Mungu wao na hadi hii leo makanisa hayo yapo Marekani na ni marufuku kwa mtu mweusi kuingia katika makanisa hayo kwa ibada!!!!

Kwa Wahindi wa India Mwalimu Mhango hali ni mbaya kuliko hili lilotokea dhidi ya mwanafunzi huyu wa kitanzania kwa upande mmoja na yanayowatokea wanafunzi wa kiafrika kwa upande mwingine.Tunajua wazi kwamba India kidini na kijamii inaendeshwa kwa mfumo wa kitabaka katika maisha yao ya kila siku,tabaka la juu (High Caste) na tabaka la chini (Low Caste,unatouchable) na ni ubaguzi ambao umevishwa mwamvuli wa dini ya kihindu na ubaguzi huo duniani upo india tu peke yake ambao ahusiani kabisa na rangi ya mwanadamu bali unaohusiana na tabaka gani la kijamii ulilojikuta umezaliwa nalo.Na sote tunajua uwovu mkubwa wa utaratibu wao huu wa ubaguzi dhidi ya tabaka hili la chini(Low Caste) na kwa utaratibu huu wa ubaguzi wa kihindi wa kitabaka wanawazingatia wanadamu wengine wote wasiokuwa wa tabaka la juu(High Caste) ulimwenguni kama Low Caste tu hili wanalitekeleza kwa vitendo na sio kwa kulitangaza wazi wazi na ndio mana kwa imani yao hiyo ya kiubaguzi ya kitabaka ni marufuku kuoana kati ya High Caste(hindu) na Low cast(Hindu) na umarufuku huo hauishii kwa wao wenyewe kwa wenyewe tu bali pia kwa asiekuwa wa dini ya kihindu wa race yoyote ile duniani isipokuwa mtu huyo awe Mzungu,kwani hakuna watu wanaojihisi upungufu duniani mbele ya mzungu kama walivyo wahindi,Muhindi huyo aidha alikuwa anatoka tabaka la juu au la chini,mbele ya wazungu wanakuwa ni sawa na mbwa mbele ya chatu.

Mwalimu Mhango,Namalizia kwa kusema kwamba kwanza tusiwe na matumaini yoyote yale ya kheri kwa ndugu zetu wa kiafrika wa kisiwa cha Andaman kwao wao ni maswala ya wakati tu lakini ni race ya kiafrika ambayo Wahindi watahukumiwa hukumu ya Genocide katika historia ya dunia.Pili Mwafrika popote pale alipo nje ya bara lake la Afrika awezi kuishi kwa furaha na amnai bila ya kubaguliwa ubaguzi wa rangi aidha ubaguzi huo ulikuwa baridi au wa moto lakini wote ni ubaguzi tu ambao inabidi tuulaani na kupambana nao kwa kadri tuwezavyo na kwa vile nchi zetu za kiafrika hazina umoja wa nguvu ya sauti moja wala hazina nguvu za kiuchumi na wala kielimu,sayansi na teknolojia daima tutaendelea tu kufikwa na saratani hiyo ya ubaguzi wa rangi na bila ya kuwa na sehemu ya kutetewa.Na tujiulize tu swali hili je tukio hili linaweza kumtokea Mmarekani Mweusi?Na kama linaweza kumtokea kwa hoja ya mjadala ni nini kitakachotokea?Jibu lipo wazi ni kwa serikali ya India kuomba radhi kwa serikali ya Marekani na kwa mwenyewe lilomtokea tukio hilo,na waliohusika na hatia hiyo kuchukuliwa hatua stahiki.Na tukumbushane tu hapa kwamba wakati wa kilele cha mfumo wa ubaguzi nchini Afrika Kusini(Apartheid) wananchi wa Japani hawakuwa wanabaguliwa kamwe kwa mfumo huo kwa vile tu wajapani wana nguvu ya kielimu,sayansi na teknolojia na uchumi kamwe hawakuthubutu Makaburi kuwabagua wajapani hao kwa mfumo wao huo.Lakini si kwa serikali ya Tanzania au serikali zingine za kiafrika utazisikia wakilaani kitendo hicho au hata kutaka serikali ya India kuomba radhi.kwa tukio hilo.

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Ndugu Anonymous nakushukuru kwa michango yako ya kuelimisha na yenye kuonyesha weledi wako juu ya masuala haya. Mchango wake una mengi ya kujifunza hasa kuhusiuana na kadhia nzima ya ubaguzi. Umenifurahisha kwa mfano wako kuwa wahindi mbele ya mzungu ni kama mbwa mbele ya chatu. Hii si kashfa ni ukweli usiopingika. Hawa jamaa wana roho nyepesi pamoja na umaskini mkubwa kuliko wetu ndiyo maana wanakilimbilia Afrika. Huwa nampenda Idi Amin alivyowafungashia virago baada ya kugundua walikuwa wakinyonya nchi yake. Nashangaa hata Mwl Nyerere pamoja na ujanja wake sijui kwanini aliwavumilia wabaguzi hawa maskini wa kila kitu. Ila naamini ipo siku. Hata kwa sasa chini ya Magufuli najua joto ya jiwe wanaipata hasa biashara yao ya kukwepa kodi baada ya kutiwa kufuli. Tuombe wasim-compromise kama walivyowafanya waliopita ukiondoa mwl Nyerere.