The Chant of Savant

Sunday 24 December 2017

Je kiongozi kama huyu anafanana na anaowaongoza kweli?

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akishiriki ujenzi wa hospitali. Sijui  viongozi wetu wa sasa wanatumia busara gani. Mgeni rasmi amevalia kana kwamba hajawahi kugusa udongo!

No comments: