The Chant of Savant

Thursday 6 November 2014

Is this true about Tanzania and China and presidential smuggling of ivory?



Kenyan Daily Nation has reported today that the plane carry China' s president was used to carry ivory smuggled out of Tanzania during his tour of Africa. If this is the case and it is true, how many tons did Tanzania's presidential jet carried when he recently visited China? For those who know how corrupt Tanzania has become, this is likely to be true given that after being reported the governments on both sides go cold feet. For more info please CLICK HITHER.

2 comments:

Anonymous said...

Toba tumekwisha ndo maana za China haziishi kwa wapambe wake .Hata ziara ya China kinana alifuata nini huko, anatuhumiwa kwa muhusika wa Tembo wetu.nani aligharamia Safari ya kinana

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Ano hujakosea, niliwahi kuandika kushangaa mtu kama kinana kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa CCM. Lakini baada ya kuwaza kwa muda mrefu niligundua kuwa hakuna kosa hasa ikizingatiwa kuwa chama chenyewe ni cha wahalifu, mafisadi, wauza unga na kila aina ya hujuma kwa taifa. Hivyo sina haja ya kuhoji ukweli wa habari hii hasa ikizingatiwa kuwa mke wa Kaisari hapaswi kutuhumiwa kwa kosa lolote achilia mbali kulitenda.