Kumbe paka ana akili kuliko mbwa hata kama wote wanafugwa!
Katika picha hii mbwa alijaribu kumfukuza paka. Baada ya paka kuona amezidiwa alimua kuyaingia maji na kumuacha mbwa akikata tamaa na kurejeza zake nyumbani.
1 comment:
Anonymous
said...
Wataalamu wanasema Binadamu hata akiwacha kula Bangi leo basi moshi utachelewa kutoka kwenye kichwa kwa muda miaka 10
1 comment:
Wataalamu wanasema Binadamu hata akiwacha kula Bangi leo basi moshi utachelewa kutoka kwenye kichwa kwa muda miaka 10
Post a Comment