I Fear Nothing But Fear Itself
Ni kweli ni picha nzuri na HONGERENI SANA kwa siku yenu ya ndoa ila hamjasema ilikiwa miaka mingapi:-) kapulya huyooo
Asante da Yacinta. Tunaikimbiza ishirini hivi. Tunamshukuru Mungu.
Mnapendeza kweli kweli.
Ahsante kaka Mhango kujibu...Hongera sana kwa mara nyingine tena. Na mlitokezea safi wenyewe
Shukrani tena da Yacinta kwa hongera zako. Ubarikiwe sana.
Mkuu mnatisha sana. Mmetoka kweli kweli. Hongera sana.
Anon tunakushukuru sana. Ubarikiwe sana nawe.
Post a Comment
7 comments:
Ni kweli ni picha nzuri na HONGERENI SANA kwa siku yenu ya ndoa ila hamjasema ilikiwa miaka mingapi:-) kapulya huyooo
Asante da Yacinta. Tunaikimbiza ishirini hivi. Tunamshukuru Mungu.
Mnapendeza kweli kweli.
Ahsante kaka Mhango kujibu...Hongera sana kwa mara nyingine tena. Na mlitokezea safi wenyewe
Shukrani tena da Yacinta kwa hongera zako. Ubarikiwe sana.
Mkuu mnatisha sana. Mmetoka kweli kweli. Hongera sana.
Anon tunakushukuru sana. Ubarikiwe sana nawe.
Post a Comment