The Chant of Savant

Thursday 28 June 2012

Wabunge wadai Saitoti na Ojode waliuawa na wauza unga

Internal Security Assistant Minister Orwa Ojode and his boss Prof George Saitoti in a public function in Baragoi, Samburu North. Both died in a helicopter crash in Ngong on Sunday. Photo/FILE
Bunge la Kenya, jana liliwaka moto baada ya baadhi ya wabunge kudai kuwa mawaziri wa zamani wa Ulinzi Profesa George Saitoti na naibu wake Orwa Ojode waliuawa na genge la wauza unga ambao walitishia maslahi yao. Wabunge walihoji mambo makuu mawili. Mosi, kwanini mkuu wa polisi wa Kenya IGP Iteere alikwenda kwenye tukio la ajali na akaondoka hata bila kuchukua tahadhari ya kiusalama kutokana na vifo vya mabosi wake. Pili, wabunge walihoji ni kwanini serikali imewakatisha tamaa wachunguzi wa mkasa huu. Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.

No comments: