Marais wastaafu Afrika waliohudhuria mkutano wao Afrika Kusini ukiongozwa na Balozi wa zamani nchini Tanzania Bwana Charles. Mwinyi (Tanzania), Mkapa (Tanzania na Karume  (? Thabo Mbeki (Afrika Kusini), Obasanjo (Nigeria), Banda (Zambia), Pedro (Cape Verde), Soglo  (Bernin).  Hata hivyo Ketumile Masire (Botswana), Joachim Chissano (Msumbiji), Alpha Konare (Mali), Bakili Muluzi (Malawi), Pasteur Bizimungu (Rwanda) na Abdulaye Wade (Senegal) hawakuhudhuria mkutano huu.