The Chant of Savant

Thursday 24 May 2012

Nigerian novelist Chinua Achebe chats with former South African President Nelson Mandela at a Steve Biko memorial ceremony in Cape Town in 2002. Biko, a leader of the Black Consciousness movement, died after being beaten by members of Apartheid’s police force. Photo/AFP
Magwiji hayo mawili kwenye picha ni kielelezo cha Afrika ingawa katika nyanja mbili tofauti. Ni nadra kukutanisha vichwa kama hivi pamoja. Ingawa hii picha ni ya mwaka 2002, imenivutia kiasi kuona ni vyema kuitundika hapa. Chinua Achebe na Nelson Mandela ni mbegu za nadra kuwa nazo pamoja. Wamekosekana Ngugi wa Thiong'o na marehemu  Mwalimu Julius Nyerere.

No comments: