The Chant of Savant

Tuesday 29 May 2012


Kuna wanaodhani kuwa kuishi na VVU ni afadhali kuliko CCM. Wanaamini kuwa
VVU humuathiri mtu mmoja wakati CCM imeathiri mamilioni ya watanzania. 
Hivyo hatari ya VVU ni ndogo ikilinganishwa na ya CCM. 
Isitoshe, kupamba na VVU ni rahisi kwani havina polisi wala pesa bali umakini wa mhusika.
 CCM ina majeshi, Usalama wa taifa, polisi, makanjanja na zana nyingine nyingi za maangamizi. 
Hivyo. aliyebuni hilo tamko wanamuona kama hajakosea.

No comments: