The Chant of Savant

Wednesday 23 May 2012

Sanago afanya mapinduzi tena

Photo/FILE  Mali junta leader Captain Amadou Sanogo speaks at the Kati Military camp, in a suburb of Bamako, on March 22, 2012.
Aliyekuwa kiongozi wa kijeshi wa Mali Kapteni Amadou Haya Sanogo mara hii ameingia na staili mpya ya mapinduzi kwa kuwatumia wanaoitwa wafuasi wake. Juzi rais wa mpito Diancounde Toure alipigwa na hao wafuasi wa Sanogo. Kama Vladimir Putin wa Urusi, Sanogo amenogewa madaraka kiasi cha kutumia mbinu za kinyani kurejea madarakani. Kichekesho ni kwamba eti wafuasi wake wamemteua kuwa kiongozi wa mpito. Wanafanya hivyo kama nani kama siyo kutumiwa? Baadaye watalizwa na wataanza kulalamika. Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.

No comments: