The Chant of Savant

Thursday 26 April 2012

Taylor bai Gbagbo Bashir na Moreno 4 kazi kwenu

Former Liberian President Charles Taylor looks down in the courtroom of the Special Court for Sierra Leone in The Hague
william r...Uhuru Ken...


Francis M...Image Detail
Kupatikana na hatia kwa aliyekuwa rais wa Liberia aliyesababisha umwagaji damu sana Charles Taylor ni ujumbe kwa watuhumiwa wengine. Inafurahisha kuona kuwa tuna mfumo wa kuweza kuwaadhibu wakubwa waliotumia madaraka vibaya. Kuna haya ya kuwa na mahakama ya ufisadi ili kuwashikisha adabu wezi wengi barani Afrika. Kupatikana na hatia kwa Taylor ni ujumbe kwa akina Laurent Gbagbo, Omar Bashir, Uhuru Kenyatta, William Ruto na Francis Muthaura. Angalau haki imetendeka kwa watu wa Liberia na majirani zake.

No comments: