The Chant of Savant

Saturday 28 April 2012

China yazidi kuzinyanyasa nchi za magharibi kimaslahi


South Sudan President Salva Kiir and Chinese President Hu Jintao

Taarifa kuwa serikali ya Uchina imeridhia kutoa mkopo wa dola bilioni nane kwa Sudan ya Kusini ni pigo kwa nchi za magharibi. Taarifa iliyotolewa na serikali ya Sudan Kusini baada ya rais wake Salva Kiir Mayardit kuhitimisha ziara yake nchini Uchina ni kwamba Uchina imepania kuhakikisha Sudan ya Kusini inasimama kwa miguu yake. Kwa habari zaidi Bonyeza hapa.

No comments: