The Chant of Savant

Monday 23 April 2012

Picha ya leo


Rais Zuma na mkewe mpya Bongi wakishuka kwenye ndege. Kumbe Zuma huwa anachukua vilivyopondeka? Kama siyo hivyo basi huyu mama anaonekana mtu mzima hivyo kuweza kujenga hisia kuwa alikuwa nyumba ndogo ya Zuma kabla ya kutangaza ndoa. Je huu si uhuni kwa watawala wetu?

No comments: